abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Hivi hawa dada zetu wana matatizo gani mbona vitu vidogo kuelewa wao huwa vinawapa tabu sana
Hawajui kuwa Harmonize na Rayvanny wemewageuza uwanja wa kiki na kila mmoja anacheza kwa staili yake.
Leo mama mtu hana hata habari kuwa anavyomlea mwanae ni kama anamuandaa Wema Sepetu wa baadae na kina Tunda wanaoimbwa na mabwana zao kuwa wana kasura kazur ila bonge la!!!?
Huyu mama asipokuwa makini watatengeneza kiki kwa kumtumia mwanae mpaka mwisho wa siku mtoto aje amkane mama.
Litoto nalo lilivyo lijinga linajua kabisa liliwa first time mzee anaomba second time halafu meseji linazipeleka public so what means Harmonize first time alikula mayai kabla ya kumla kuku.
Hawajui kuwa Harmonize na Rayvanny wemewageuza uwanja wa kiki na kila mmoja anacheza kwa staili yake.
Leo mama mtu hana hata habari kuwa anavyomlea mwanae ni kama anamuandaa Wema Sepetu wa baadae na kina Tunda wanaoimbwa na mabwana zao kuwa wana kasura kazur ila bonge la!!!?
Huyu mama asipokuwa makini watatengeneza kiki kwa kumtumia mwanae mpaka mwisho wa siku mtoto aje amkane mama.
Litoto nalo lilivyo lijinga linajua kabisa liliwa first time mzee anaomba second time halafu meseji linazipeleka public so what means Harmonize first time alikula mayai kabla ya kumla kuku.