Si jambo rahisi kuzuia maovu

Si jambo rahisi kuzuia maovu

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Turejelee harakati za mitume wetu Yesu Kristo na Muhammad, mitume hawa walikuwa wakihangaika usiku na mchana kuondoa maovu ikiwemo wizi, ukahaba, ushoga na mengineyo.

Leo hii tunashuhudia dunia ikitumbukia kwenye ushoga na usagaji na maovu mengine mengi, Je, unadhani mfupa uliomshinda fisi binadamu ataweza?

Kama hawa mitume walishindwa kumaliza haya matatizo sisi binadamu tena wa kawaida tutaweza?
 
Zinaa na mapenzi ya Jinsia moja ni chanzo cha matatizo makubwa duniani ikiwamo shida, taabu na mahangaiko, magonjwa na kifo lakini hatukomi

MWANZO 3:19
"kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi."

MWANZO 5:5
"Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa."

MWANZO 6:3
"BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini."

ZABURI 90:10
"Miaka ya kuishi ni sabini, au tukiwa wenye afya, themanini; lakini yote ni shida na taabu! Siku zapita mbio, nasi twatoweka mara!"

Siku za kuishi zilikua hadi miaka 900, lakini sababu ya uovu wetu ikapunguzwa hadi 120, ikapunguzwa tena hadi 70

Sasa sijui tunataka ifike mingapi

Yesu atusaidie sana
 
Turejelee harakati za mitume wetu Yesu Kristo na Muhammad, mitume hawa walikuwa wakihangaika usiku na mchana kuondoa maovu ikiwemo wizi, ukahaba, ushoga na mengineyo.

Leo hii tunashuhudia dunia ikitumbukia kwenye ushoga na usagaji na maovu mengine mengi, Je, unadhani mfupa uliomshinda fisi binadamu ataweza?
Kama hawa mitume walishindwa kumaliza haya matatizo sisi binadamu tena wa kawaida tutaweza?
Muhamad siyo mtume, ni mjanjamjanja mmoja tu wa kiarabu. ni utumwa kuamini huyu jamaa ni mtume
mtu anayedai kuleta uislam na muislam wa kwanza ,pia anadai Adam naye alikuwa muislam, kifupi siyo mtume
 
Back
Top Bottom