Si kila mwana CCM ni wa kulilia akifa wanatutesa sana wakiwa hai

Si kila mwana CCM ni wa kulilia akifa wanatutesa sana wakiwa hai

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Great Thinkers.

Politicians ni binadamu kama binadamu wengine tu. Leo hii misiba tanzania iko mingi lakini ya wanasiasa inapambwa sana.

Wanasiasa wenyewe ndo hawa CCM wanaotutesa na ugumu wa maisha pamoja na ubadhilifu.

Kuna wanasiasa wa kulilia ila wengine hasa walio wengi tunasema asante mungu
 
Great Thinkers.

Politicians ni binadamu kama binadamu wengine tu. Leo hii misiba tanzania iko mingi lakini ya wanasiasa inapambwa sana.

Wanasiasa wenyewe ndo hawa CCM wnaotutesa na ugumu wa maisha pamoja na ubadhilifu.

Kuna wanasiasa wa kulilia ila wengine hasa walio wengi tunasema asante mungu
100%
 
Ndo maana kuna madam flani humu inahusu utakumbukwa kwa lipi ukifa?!!
 
Back
Top Bottom