Si kila mwanaume ni wakuwekewa limbwata, wengine wameaga kwao

ni style gani ya kuaga nyumbani ili mwanaume usipewe libwata.?
 
Ila bwana waganga wapoo asikwambie mtu. Anatega bomb linalipuka hapo kwa hapo bila hata kulisha watoto wa watu vitu vichafu
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji23][emoji23]
 
U mjuvi wa mambo ya kizani. Yaelekea ulishafanya mambo kwa mamboze. Umemkamata zoba na lofa flani. Umefanya ili uchepuke bila kelele.

Hongera Mrs Bishanga

Bazazi

Ungejua mm hata sio mchepukaji usingeandika hivi. Kwani kujua kitu lazima uwe umekifanya?? Jamii inayonizunguka hasa home kuna waganga wengi tu na vitu wanafanya unaona ss kuvieleza imekuwa kosa? Uliza vita ya kukata mirungi wilaya ya same ilikutana na mazingahombwe gani kwenye kijiji flani??
 
Uchawi huwa ni kiini macho, kina expire...

Ukishaanza mambo ya kishirikina, utaishi kuwa mshirikina...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…