Pre GE2025 Si kila RC lazima awe mbunge. Madiwani wa Arusha wajitafakari

Pre GE2025 Si kila RC lazima awe mbunge. Madiwani wa Arusha wajitafakari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Leo nimeshtushwa sana, kama vile Mheshimiwa Dk. Nchimbi hakusikika alipowaonya watu kuhusu kampeni.

Madiwani hawa wanapaswa kuonywa, na ikiwezekana, kunyimwa posho kwa muda kutokana na kwenda kinyume na maagizo ya chama.

Mheshimiwa, ulitoa onyo wazi, likirushwa moja kwa moja kwenye televisheni, na ukaapa kuwa yeyote atakayeanza kampeni kabla ya wakati atakutana na madhara yake.

Lakini leo, madiwani wa Arusha wanapendekeza Gambo kuwa mbunge wa Arusha na kutaja majina ya wanaowataka wao, jambo linalokiuka utaratibu.

Ni vyema wakumbuke kuwa Gambo bado ni mbunge wa CCM hadi Oktoba 2025.

Nashauri wapewe adhabu kali kama funzo kwa wote wanaopuuza maagizo kwa sababu ya tamaa zao. Mheshimiwa Katibu, hili linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wake.

Inasikitisha sana, lakini naamini kamati itafuatilia na kuchukua hatua stahiki dhidi yao.
 
Naingia maombini KUWAOMBEA hapa kawe kila la kheri na kampeni zenu
 
Madiwani wametumwa na RC mpenda sifa. Uchawa ndiyo tatizo. Wananchi wa Arusha pigeni chini hawa madiwani.
 
Leo nimeshtuka sana sana kama vile MH Dk nchimbi hakusikika alivyoonya watu kuhusu kampeni

Hawa madiwani waonywe na ikiwezekana wanyinwe posho za mda kwa KWENDA kinyume na maagizo ya chama

MH karibu wangu umeonya live hakuna tv aikuonyesha na ukaapa yoyote atakaeanza kampeni ajiandae kulia

Leo madiwani ea Arusha wanalaan kuchaguliwa kwa gambo kama mbunge Arusha na kutaja wanaomtaka wao

Mkumbuke huyu bado n mbunge WA Ccm mpaka 2025 octb

NASHAURI TU wapewe adhabu Kali iwe HESHIMA KWA WOTE wanaohaha na njaa zaoo MH Katibuuu

Inasikitisha sana naamini kamati itafwatilia na kutoa adhabu Kali kwao
Inaitwa chawaism, chawaaaa chawanian
 
Madiwani wametumwa na RC mpenda sifa. Uchawa ndiyo tatizo. Wananchi wa Arusha pigeni chini hawa madiwani.
Yaani Katibu

Anatakiwa awaited wote waliohusika

Waseme waltumwa na nani

Haiwezekana HATA mwezi aijafika

Onyo limetolewa na KATIBU mkuu mkubwa kabisa WA CHAMA Hawa chawa WANAANZA kuleta fujoo

Waseme wamepewa na nani nguvu ya kuongea haya ifike wakati chama kiheshimiwe sio nguvu ya mtu binafsi
 
Leo nimeshtushwa sana, kama vile Mheshimiwa Dk. Nchimbi hakusikika alipowaonya watu kuhusu kampeni.


Madiwani hawa wanapaswa kuonywa, na ikiwezekana, kunyimwa posho kwa muda kutokana na kwenda kinyume na maagizo ya chama.

Mheshimiwa, ulitoa onyo wazi, likirushwa moja kwa moja kwenye televisheni, na ukaapa kuwa yeyote atakayeanza kampeni kabla ya wakati atakutana na madhara yake.

Lakini leo, madiwani wa Arusha wanapendekeza Gambo kuwa mbunge wa Arusha na kutaja majina ya wanaowataka wao, jambo linalokiuka utaratibu.

Ni vyema wakumbuke kuwa Gambo bado ni mbunge wa CCM hadi Oktoba 2025.

Nashauri wapewe adhabu kali kama funzo kwa wote wanaopuuza maagizo kwa sababu ya tamaa zao. Mheshimiwa Katibu, hili linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wake.

Inasikitisha sana, lakini naamini kamati itafuatilia na kuchukua hatua stahiki dhidi yao.
Pole sana Gambo! Hata hivyo si lazima uendelee kuwa mbunge! Na siyo lazima awe Makonda! Wapo wengine pia wenye uwezo pengine kuliko wewe!
 
Pole sana Gambo! Hata hivyo si lazima uendelee kuwa mbunge! Na siyo lazima awe Makonda! Wapo wengine pia wenye uwezo pengine kuliko wewe!
Kumbe. Hili unajua hio ndios siasaaa

Watu walishinda kamati ikateua aliekuwa WA Tano na wengine WA sita wakateuliwa na kushinda ubunge
 
Siasa za msukuma zinaelekea pagumu,baadhi ya watu wameanza kujua ni binadamu wa kawaida na ana tamaa kama kijani wenzake,hii siasa ya Arusha itakuwa tamu sana walah tena!!
 
Back
Top Bottom