Si Kipawa tu...

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001


Wakazi wa Banana Kata ya Kipawa wakiangalia mtaro mkubwa uliochimbwa na mfanyabiashara wa eneo hilo na kuzuia magari yanayoegeshwa kituoni hapo.
 
na watu wanavyoamua kufanya mambo bila plan
nchi iko mtelemko sana hii
 
hiyo inaweza leta maafa kwa raia wema....miguu kwachuu...
 
Sijaelewa. Naomba relation ya Kipawa na huo mtaro wa Banana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…