Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Wanajukwa,
Kumekuwepo na wimbi kubwa sana la wadada na wa mama kupendeza (kunawiri) siku hizi za miaka ya 2000 hadi sasa ukilinganisha na miaka ya 1980s, 1990s hadi 2000.
Nini siri ya urembo wa jambo hilo? Si kijijini wala mjini wadada na wamama. Je ni kutokana na unadhifu wao, kutaka kupendwa, kuuza sura au ni desturi zao? Si kwa kupendeza huku.
Kumekuwepo na wimbi kubwa sana la wadada na wa mama kupendeza (kunawiri) siku hizi za miaka ya 2000 hadi sasa ukilinganisha na miaka ya 1980s, 1990s hadi 2000.
Nini siri ya urembo wa jambo hilo? Si kijijini wala mjini wadada na wamama. Je ni kutokana na unadhifu wao, kutaka kupendwa, kuuza sura au ni desturi zao? Si kwa kupendeza huku.