Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Hata wao hupendeza hasahasa asubuhiBila picha hainogi
Alafu acha umbea asubuh asubuh yote hii
Bila picha hainogi
Alafu acha umbea asubuh asubuh yote hii
Waache waendelee kujichubua na kujipandikiza maplastikiWanajukwa kumekuwepo na wimbi kubwa sana la wadada na wa mama kupendeza (kunawiri) siku hizi za miaka ya 2000 hadi sasa ukilinganisha na miaka ya 1980s, 1990s hadi 2000. Nini siri ya urembo wa jambo hilo? Si kijijini wala mjini wadada na wamama. Je ni kutokana na unadhifu wao, kutaka kupendwa, kuuza sura au ni desturi zao? Si kwa kupendeza huku.
Kwanini hiyo kawaida ni kwa hivi karibuni?Kawaida tu.
Wapendi mambo ya naturalWaache waendelee kujichubua na kujipandikiza maplastiki
Hatuta waoa ngo' kuolewa watabaki kuisikia kwenye bomba
Tutahamia nchi zingine sasa
Wadada badilikeni kwa nini usiwe natural
Anawaza kuchuna buzi
Ni jambo la kawaida katika jamii. [emoji23]Kwanini hiyo kawaida ni kwa hivi karibuni?
Chakubanga upo?Kawaida tu.