Si kweli kwamba Rombo ni masikini

Si kweli kwamba Rombo ni masikini

Gilbert wa tarakea.

Senior Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
179
Reaction score
82
Natamani kila mtu ajue yafuatayo
01. Kuna barabara kila kona. hata ukienda nyumbani kwa mtu huitaji kupack mbali.
02. Kuna maji tena safi na salama bila kuchemsha.
03. kuna umeme kila mtaa na kila kijiji na kitongoji.
04. Kuna idadi kubwa ya shule za msingi na sekondari kuizidi DAR. kuna wasomi wengi.
05. Kuna biashara zote halali na haramu. huitaji kwenda mbali.
06. Kuna amani na usalama wa kutosha kwa kuwa watu wameshikilia dini.
07. kuna hospitali kila kijiji (dispensaries). huitaji rufaa ya muhimbili. kuna mortuary pia.
08. kuna chakula cha kutosha(milo 3 kwa siku). ukisikia kuna njaa wanataka mahindi ya kupika pombe ya NZUGA
09. Kuna population ya kutosha uhakika wa soko la bidhaa yako
10. kuna wazee wa kutosha kumaanisha huduma nzuri za Afya na chakula bora kwa wazee
11. Kuna wasomi wengi tenga ngazi ya cheti na shahada kila familia. LITERACY RATE.
12. Kuna watoto wengi kumaanisha HUDUMA NZURI ZA UZAZI
13. Kuna magari mengi yaendayo mikoani zaidi ya halmashauri yeyote ile. kwa siku magari 7 hutoka Dar, Dodoma, na Arusha.
14. Vijana wengi wako nje ya nchi kama Kenya na kwingineko wakisaka maisha bila kuchoka
15. Kuna majengo ya kisasa zaidi. wameachana na nyumba za mbao wanajenga kwa matofali tena kwa kasi kubwa sana.

Naomba uniambie ni kitu gani hakipo ndo tuseme kuwa ni maskini??? UTAKUBALIANA NAMI KUWA HAWA NI MATAJIRI.

😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉
 
Aiseeee

First they ignore you, Then they laugh at you, Then they fight you, last you win.
 
Jamaa yupo hoi na kilevi hata kukaa kwenye kiti cha pikipiki hiyo ni ndani ya Rombo
image.jpg
 
kuna wanaodai huko ni maskini??
 
Kuna mgao wa maji wa kutisha ingawa wapo karibu na vyanzo vya maji. Bei ya maji kwa unit moja ni kubwa kuliko hata maeneo ya jangwani. Ukitaka kufungiwa maji kibali ni laki sita na kukipata ni majaliwa. Fanya research yako vizuri kuanzia eneo la Tarakea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 2 sio kwl issue ya maji rombo ni shida sana kili water ni wanazingua haiwezekaniki,
Namba 8 mahindi hamna huku labda ndizi mahindi hadi mwai na isiponyesha mvua bas tena
Namba 9 biashara rombo ngumu labda ufungue bar ndio utauza,
Namba 15 wadanganye wasioijua rombo kuna nyumba nzur pia zpo mbovu saana za miti, tena wengine wanalala na mbuzi kabisa
Namba 12 mmmmh...... kwa ulevi huu huku fanya conclusion mwenyewe.....
[emoji23][emoji23][emoji23]
NB. Vingine umezungumza vina ukwl kiasi......


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warombo katika wachaga wote ndio wachaga ambao hawakusoma wamesoma ndio lakini sio sawa na wenzao.Mtoto akimaliza la saba tu akili yake inafikiria biashara tu sio kitu kibaya na mpaka na Kenya umewa affect sana mindset ya vijana kutokupenda shule.Wanaume wa Rombo wananyanyasa sana wake zao ndo chanzo cha kashfa kuwa watu wa Kenya wanataka kuimport.Wanawake wa Rombo ni majembe wachapakazi sana kuliko wanaume ila wanaongoza kuzaa nje ya ndoa kulinganisha na wanawake wengine wa kichaga.Kibaya zaidi warombo pamoja na yote lakini wana imani za kishirikina kwenye biashara zao.Kubwa kuliko yote hawa watu kwa ujumla wao wakiwa nje ya kwao ni hardworker sana.Mrombo mnaingia naye mjini baada ya miaka kumi unakuta mwenzako amenunua lori wewe bado unatembelea baiskeli
 
Na pia ndio sehemu kila kona ina majeneza.

Rombo, Mwika, Marangu na Kilema kila kona ukipita ni Majeneza huko vijijini.
 
Natamani kila mtu ajue yafuatayo
01. Kuna barabara kila kona. hata ukienda nyumbani kwa mtu huitaji kupack mbali.
02. Kuna maji tena safi na salama bila kuchemsha.
03. kuna umeme kila mtaa na kila kijiji na kitongoji.
04. Kuna idadi kubwa ya shule za msingi na sekondari kuizidi DAR. kuna wasomi wengi.
05. Kuna biashara zote halali na haramu. huitaji kwenda mbali.
06. Kuna amani na usalama wa kutosha kwa kuwa watu wameshikilia dini.
07. kuna hospitali kila kijiji (dispensaries). huitaji rufaa ya muhimbili. kuna mortuary pia.
08. kuna chakula cha kutosha(milo 3 kwa siku). ukisikia kuna njaa wanataka mahindi ya kupika pombe ya NZUGA
09. Kuna population ya kutosha uhakika wa soko la bidhaa yako
10. kuna wazee wa kutosha kumaanisha huduma nzuri za Afya na chakula bora kwa wazee
11. Kuna wasomi wengi tenga ngazi ya cheti na shahada kila familia. LITERACY RATE.
12. Kuna watoto wengi kumaanisha HUDUMA NZURI ZA UZAZI
13. Kuna magari mengi yaendayo mikoani zaidi ya halmashauri yeyote ile. kwa siku magari 7 hutoka Dar, Dodoma, na Arusha.
14. Vijana wengi wako nje ya nchi kama Kenya na kwingineko wakisaka maisha bila kuchoka
15. Kuna majengo ya kisasa zaidi. wameachana na nyumba za mbao wanajenga kwa matofali tena kwa kasi kubwa sana.

Naomba uniambie ni kitu gani hakipo ndo tuseme kuwa ni maskini??? UTAKUBALIANA NAMI KUWA HAWA NI MATAJIRI.

😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉
Hii nayo ni historia?Ingefaa sana kuipeleka Habari na Hoja Mchanganyiko.
 
Warombo wako vizuri kwakweli nimewah kusoma advance kule so niliexperience vitu vingi vya tofauti kule watu hawana msisha ya shida kiivyo kulinganisha na vijiji vingi bongo japo nchi yote ni yetu kujiita mrombo kwa ajili ya warombo ni ulimbukeni kwani hata mkurya anaweza kuwa mrombo
 
Rombo maisha murua kabisa trust mi ila nako hakukosi kasoro ndogo ndogo ila pametulia kwa kula maisha nyama choma mixer kili lager.
 
Namba 2 sio kwl issue ya maji rombo ni shida sana kili water ni wanazingua haiwezekaniki,
Namba 8 mahindi hamna huku labda ndizi mahindi hadi mwai na isiponyesha mvua bas tena
Namba 9 biashara rombo ngumu labda ufungue bar ndio utauza,
Namba 15 wadanganye wasioijua rombo kuna nyumba nzur pia zpo mbovu saana za miti, tena wengine wanalala na mbuzi kabisa
Namba 12 mmmmh...... kwa ulevi huu huku fanya conclusion mwenyewe.....
[emoji23][emoji23][emoji23]
NB. Vingine umezungumza vina ukwl kiasi......


Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa usisahau na ile tabia ya kutoana kafara aka kuchukuana misukule
 
Natamani kila mtu ajue yafuatayo
01. Kuna barabara kila kona. hata ukienda nyumbani kwa mtu huitaji kupack mbali.
02. Kuna maji tena safi na salama bila kuchemsha.
03. kuna umeme kila mtaa na kila kijiji na kitongoji.
04. Kuna idadi kubwa ya shule za msingi na sekondari kuizidi DAR. kuna wasomi wengi.
05. Kuna biashara zote halali na haramu. huitaji kwenda mbali.
06. Kuna amani na usalama wa kutosha kwa kuwa watu wameshikilia dini.
07. kuna hospitali kila kijiji (dispensaries). huitaji rufaa ya muhimbili. kuna mortuary pia.
08. kuna chakula cha kutosha(milo 3 kwa siku). ukisikia kuna njaa wanataka mahindi ya kupika pombe ya NZUGA
09. Kuna population ya kutosha uhakika wa soko la bidhaa yako
10. kuna wazee wa kutosha kumaanisha huduma nzuri za Afya na chakula bora kwa wazee
11. Kuna wasomi wengi tenga ngazi ya cheti na shahada kila familia. LITERACY RATE.
12. Kuna watoto wengi kumaanisha HUDUMA NZURI ZA UZAZI
13. Kuna magari mengi yaendayo mikoani zaidi ya halmashauri yeyote ile. kwa siku magari 7 hutoka Dar, Dodoma, na Arusha.
14. Vijana wengi wako nje ya nchi kama Kenya na kwingineko wakisaka maisha bila kuchoka
15. Kuna majengo ya kisasa zaidi. wameachana na nyumba za mbao wanajenga kwa matofali tena kwa kasi kubwa sana.

Naomba uniambie ni kitu gani hakipo ndo tuseme kuwa ni maskini??? UTAKUBALIANA NAMI KUWA HAWA NI MATAJIRI.

😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉
Elai! Nikta? Waambadya? Ningsha tick!

Jamaa wana lugha fulani kihabeshi si kihabeshi, kibantu si kibantu! Ukiwasikia wanavyoongea lazima ucheke hata kama huelewi wanachosema.
Lakini nawasifu wengi wao kwa uchapa kazi, ubunifu na utafutaji, aisee kila kona nchi hii wapo wanapiga hela, halafu hawana majivuno. Unaweza kumkuta mtu ni bilionea lakini mwonekano wake kama fukara!
 
Kwa mtazamo wangu nafikiri warombo siyo wachagga, hata lugha yao ni tofauti kabisa. Sielewi sifa ya kuitwa wachagga wamepewa au wamejipa wenyewe ili kujiongezea uhalali au kupata kundi kubwa la kujinasibisha nalo.
 
Back
Top Bottom