Si lazima mgonjwa wa #COVID19 awe na dalili ili kuambukiza wengine

Si lazima mgonjwa wa #COVID19 awe na dalili ili kuambukiza wengine

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Inawezekana mtu aliyepata maambukizi ya #CoronaVirus kutoonesha kabisa dalili yoyote kati ya zinazotajwa kama mafua, kifua na homa au akapata dalili siku kadhaa baada ya kuambukizwa

Kwa imani kuwa hana maambukizi inawezekana akawaambukiza wengine kirahisi kwa kuwa karibu nao au kuhamisha maambukizi kutoka mdomoni au puani kwenda kwenye vitu vinavyotumiwa na jumuiya


Kwa imani kuwa hana maambukizi inawezekana akawaambukiza wengine kirahisi kwa kuwa karibu nao au kuhamisha maambukizi kutoka mdomoni au puani kwenda kwenye vitu vinavyotumiwa na jumuiya


Kuwa makini, nawa mikono kwa maji tiririka na uhakikishe haushiki macho, mdomo na pua kwa mikono isiyo safi

#JFCOVID19_Updates #Corona #JamiiTalks
4A665D38-B752-40E0-B654-59A5A423BB56.png
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom