Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
[emoji654][emoji654]Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga halafu unakuta umebakiza unit 60 za umeme,
[emoji117] inabidi tu uchemshe maji hadi yale ya kuflashia choo.
[emoji117] inabidi tu uchemshe maji hadi yale ya kuflashia choo.