Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Mueleze huyoumeuona mchezo wa yanga ?
Kati ya hao watatu uliowataja mie namuona mmoja tuu (Bibi kizee) atakaye songa mbele zaidi.Ukweli upo kwa mbaali, ila waambie BVB+JUVE+CITY Wachukue Uefa.
Leo wapangiwe Barca au REAL Uone wanavyoomba mechi isogezwe mbele
Mkuu Simba hata achoke kiasi cha kutembea kwa ukuta huwezi mletea mazoea, madrid,Barca na hao Bayern sio wa kutamani kukutana nao pamoja na hali zao mbovu.Ukweli upo kwa mbaali, ila waambie BVB+JUVE+CITY Wachukue Uefa.
Leo wapangiwe Barca au REAL Uone wanavyoomba mechi isogezwe mbele
Umeanza matunguli mapema sana, ManCity watoe katika Champions League, Guardiola anamfumo ambao kufungika ni rahisi sana, hafu kumbuka Champs league huwa inatoa surprise kila mwakaSoka linalopigwa na BvB, Manchester city na Juventus Turin kwa sasa pale ulaya ni bora na zuri. Zile zama za kina Barcelona na Real Madrid zimefika mwisho.
Kwa mtu aliyeangalia game za Juventus, Man city na BvB kwa siku za karibuni ataelewa nini namaanisha.
Poleni Barcelona, poleni Real Madrid, Poleni Bayern Munich.
Mkuu nasikia sarriBol iligoma, Everton si wazuri walijua kabisa wakimshika Jorginho Chelsea hawatokiHamna team bora kwa sasa zote ziko sawa tu
Juventus ya msimu huu sio bora kama ya misimu iliyopita pamoja na kuongeza mchezaji bora. Sijui tatizo ni kocha anashindwa kuwatumia vizuri wachezaji wake, mfumo au kitu gani. Yaani wanafungika kiurahisi sana na safu yao ushambuliaji hawana umakini kwenye umaliziaji. Juventus hii ni juventus nyepesi kuliko misimu iliyopitaSoka linalopigwa na BvB, Manchester city na Juventus Turin kwa sasa pale ulaya ni bora na zuri. Zile zama za kina Barcelona na Real Madrid zimefika mwisho.
Kwa mtu aliyeangalia game za Juventus, Man city na BvB kwa siku za karibuni ataelewa nini namaanisha.
Poleni Barcelona, poleni Real Madrid, Poleni Bayern Munich.
Hapana mkuu. Wapo vizuri kuliko msimu uliopita. Na inaonekana wamejipanga kushindana ulaya. Washachoshwa na scudetto. Nadhani ni misimu sita mfululizo wamechukua.Juventus ya msimu huu sio bora kama ya misimu iliyopita pamoja na kuongeza mchezaji bora. Sijui tatizo ni kocha anashindwa kuwatumia vizuri wachezaji wake, mfumo au kitu gani. Yaani wanafungika kiurahisi sana na safu yao ushambuliaji hawana umakini kwenye umaliziaji. Juventus hii ni juventus nyepesi kuliko misimu iliyopita
Ngoja tuone mkuu safari yao itaishia wapi.Hapana mkuu. Wapo vizuri kuliko msimu uliopita. Na inaonekana wamejipanga kushindana ulaya. Washachoshwa na scudetto. Nadhani ni misimu sita mfululizo wamechukua.
Sasa ni zamu ya kupambana ulaya.
Haikugoma ni watumia nafasi walichemka tulipaswa kushinda ile match 2-0Mkuu nasikia sarriBol iligoma, Everton si wazuri walijua kabisa wakimshika Jorginho Chelsea hawatoki