Nadhan turejee kwenye maana ya msingi niliyoikusudia,nayo ni ile ya mkataba wa hiari ya watu wa jinsi mbili kukubaliana kuishi pamoja wakiwa mke na mume/wenza{ndoa} kwa mujibu wa mila na tamaduni za tanzania,dhana ya kufanana ni maana ya ziada ambayo si ile niizungumzayo mm.kwa tamaduni za tanzania mume huoa na mke huolewa,hivyo tunaposema "kuoana" maana yake ni kuwa hawa watu wametendana yaani kila mmoja ameoa,kitu ambacho kwa utamaduni wetu c sahihi.lazma mfahamu kuwa lugha ni sehemu ya utamaduni,hvyo lazma ifate kaida za utamaduni.hivyo c sahihi kusema "wameoana"kwani mke haoi jamani.jifunzeni kiswahili acheni siasa.