Si tuliambiwa Kipa wetu anaweza soma gazeti na asifungwe sasa imekuwaje?

Si tuliambiwa Kipa wetu anaweza soma gazeti na asifungwe sasa imekuwaje?

UZi tayari
Msemaji wetu n hodari wa maneno akasema kipa wetu anaweza kusoma gazeti wakat mech ikiendelea

Sasa imekuaje karuhusu goli 2 na hata gazet lenyewe hakusoma!

Je akisoma gazeti itakuwaje siku hyo!

AMEDI ALI MUNGU ANAKUONA
Aya
 
Msemaji wetu ni hodari wa maneno akasema kipa wetu anaweza kusoma gazeti wakat mechi ikiendelea.

Sasa imekuaje karuhusu goli 2 na hata gazeti lenyewe hakusoma!

Je, akisoma gazeti itakuwaje siku hyo?

Ahmed Ali Mungu anakuona!
AHMED ALLY kama alisoma jounalism basi alifeli vibaya sana. aliwaongopea kwamba mmeiba mchezaji wa yanga airport juzi try again kasema hawajaiba mchezaji
jamaa anabwabwaja sana bila weledi wowote
 
AHMED ALLY kama alisoma jounalism basi alifeli vibaya sana. aliwaongopea kwamba mmeiba mchezaji wa yanga airport juzi try again kasema hawajaiba mchezaji
jamaa anabwabwaja sana bila weledi wowote
Upimbi mwingi...
 
Msemaji wetu ni hodari wa maneno akasema kipa wetu anaweza kusoma gazeti wakat mechi ikiendelea.

Sasa imekuaje karuhusu goli 2 na hata gazeti lenyewe hakusoma!

Je, akisoma gazeti itakuwaje siku hyo?

Ahmed Ali Mungu anakuona!
Kolo FC wanashidaaaa😂
 
Mnawachukulia serious Wasemaji wa timu za Tanzania?
 
Back
Top Bottom