NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Za ndani kabisa Robertinho ana mtaka Moses Phiri na Peter Banda waendelee kubaki maana ana mpango nao.
Hivyo basi, Kuna viongozi wa Simba hawataki wabaki kutokana na majeruhi waliyo nayo hii imepelekea kuleta mvutano ndani ya timu wengine wanamuunga mkono Robertinho na wengine hawamuungi mkono.
Je kwa viongozi wa Simba sc kuendelea kutompa Uhuru kocha tutafika kweli kwenye nchi ya Ahadi (kuchukua vikombe)?
Nawasilisha hoja.
Hivyo basi, Kuna viongozi wa Simba hawataki wabaki kutokana na majeruhi waliyo nayo hii imepelekea kuleta mvutano ndani ya timu wengine wanamuunga mkono Robertinho na wengine hawamuungi mkono.
Je kwa viongozi wa Simba sc kuendelea kutompa Uhuru kocha tutafika kweli kwenye nchi ya Ahadi (kuchukua vikombe)?
Nawasilisha hoja.