NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
kupanga ni kuchagua tuwe na kikosi bora au tuwe wasindikizaji tena msimu ujao ndio tutapa uchungu kisawa sawa maana yanga kwnye champion ataleta upinzani mkubwa sana.. ameonyesha anawamudu waarabu vizuri sana.Za ndani kabisa Robertinho ana mtaka Moses Phiri na Peter Banda waendelee kubaki maana ana mpango nao..
Mkuu jikite kwenye hoja [emoji16]Hiyo truck suit ya robertinho imemodolewa lakini Bado bwanga duu
Wote wapotezwe Hadi makolo na mashabiki wao maana hawana mchango wowote kwa taifaMkuu jikite kwenye hoja [emoji16]
Ngoja waje Sasa jipange kuwajibu.Wote wapotezwe Hadi makolo na mashabiki wao maana hawana mchango wowote kwa taifa
Hongera sana Azam FcUSM ALGER BINGWA
Tuliwatuma Arabuni kuleta kombe au hirizi!Za ndani kabisa Robertinho ana mtaka Moses Phiri na Peter Banda waendelee kubaki maana ana mpango nao.
Hivyo basi, Kuna viongozi wa Simba hawataki wabaki kutokana na majeruhi waliyo nayo hii imepelekea kuleta mvutano ndani ya timu wengine wanamuunga mkono Robertinho na wengine hawamuungi mkono.
Je kwa viongozi wa Simba sc kuendelea kutompa Uhuru kocha tutafika kweli kwenye nchi ya Ahadi (kuchukua vikombe)??
Nawasilisha hoja.View attachment 2646831
Tuliwatuma Arabuni kuleta kombe au hirizi!
Tuanzie hapa.
Nyinyi mlioleta kombe mmeliweka wapiTuliwatuma Arabuni kuleta kombe au hirizi!
Tuanzie hapa.
Umejuaje Kama siendi??Wenzio wanajiandaa kwenda Ikulu kwenye Futari..we umekomaa hapa na mambo ya Simba..Algeria hukwenda hata hapo Magogoni huendi
Kwa hiyo hutaki tujadiri kwa masilahi mapana ya claub yetu ya Simba[emoji41]We yanakuhusu nini?
Tuliwatuma Arabuni kuleta kombe au hirizi!
Tuanzie hapa.
Kunywa hivyo hivyo!Mwana utopolo anapojaribu kuleta chai isiyo na sukari