Si upumzike baba

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720


hata kusimama inaanza kuwa shida si upumzike na unataka uraisi 2015 tena jamani?
 
kwani umesikia kaanguka peke yake jukwaani.?
 
Kwani amekwambia anataka urais wa 2015 au unaweweseka tu?
 
Sure, hata mie nimemuona hata kutembea inaonekana anapata shida. Anakuwa kama anaenda upande upande hivi. Kweli apumzike.
 
gas na mafuta wamuachie nani acha wale hela za wajinga
 
Haka kazee kanapenda ukubwa sana. Mimi nimesafiri nako mara kadhaa. Kakishuka kwenye ndege utakaonea huruma wakati wa kutembea kwenda boarding room. Inakuwa kama kametoka jando dakika chache zilizopita.
 
Kweli aise wapumzike, yeye na mwenzake daktari Wiliburodi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…