Si uungwana kuandika matusi kwenye vyoo vya umma

Si uungwana kuandika matusi kwenye vyoo vya umma

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1,846
Reaction score
2,754
Wadau poleni sana na mihangaiko ya Jumamosi.

Kuna hili la kuandika matusi na maneno ya kejeli kwenye vyoo vya kulipia, unakuta ukutani pale pameandikwa matusi makubwa na maneno ya kejeli, kiukweli huu si uungwana kabisa.

Swali langu ni kwamba wanaosimamia hawaonagi au wameridhika wateja wao kutukanwa? Wanashindwa kufuta au wameacha kwa maksudi tu.

Lingine ni la usafi kiukweli kuna vyoo haviridhishi kabisa katika usafi. na unakuta msimamizi yupo tu wala hana habari.

Tukumbuke kwamba tupo kwenye kipindi Cha magonjwa mengi yanayoweza kusababishwa na kujisaidia kwenye vyoo vichafu.

Niwatakie weekend njema.
 
Wadau poleni sana na mihangaiko ya j'mos.

Kuna hili la kuandika matusi na maneno ya kejeli kwenye vyoo vya kulipia, unakuta ukutani pale pameandikwa matusi makubwa na maneno ya kejeli, kiukweli huu si uungwana kabisa...
"Black people are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Haha mambo ya enzi hizo shule za msingi na sekondari baadhi,,,unakuta akumbukwe kubwaaa imeandikwa kwa nnya au kuna mwalimu kashushiwa bonge la tusi na mshenzi kaandika na nnya
 
Umesomea shuleni kwetu nn😂😂😂😂
 
mwanga lutila kajamba mbwiiiiiiiiiiii!

Kuchora muhimu..

Zungumzia kunya pembeni labda
 
Mi nakumbuka enzi za shule,
Kumbe tena na vya kulipia hayo yapo
 
Back
Top Bottom