Si vibaya tukajuzwa kilichopeleka mzee wetu marehemu mzee Reginard Mengi kumwacha mke wake wa kwanza,Mama Mercy!

Si vibaya tukajuzwa kilichopeleka mzee wetu marehemu mzee Reginard Mengi kumwacha mke wake wa kwanza,Mama Mercy!

ngalanga

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
1,782
Reaction score
1,887
Za weekend wadau !

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu

Lengo kubwa ni kupeana taarifa tu! Tukiwa kwenye majonzi ya kuondokewa na mzee wetu Mengi nilidhani si vibaya kujifunza baadhi ya maamuzi mazito aliyokwisha yafanya katika maisha yake kama kumwacha mke wake wa kwanza ambaye pia ni marehemu aliyemuoa 1971.

Huenda kuna watu wanajua chanzo cha wao kuachana na pengine sisi vijana tunaotaraji kuoa tukawa na jambo la kujifunza kutoka kwao kwa nia njema kabisa.

Karibuni wakuu!!
 
Waza utapata wapi ada ya watoto, maana unajisahaulisha kwa kujadili yasiyokuhusu Mkuu
 
Umejuaje kuwa hilo ni tatizo kwangu mkuu ! Get out of the box ,kama hauna info kaa kimya mkuu ! Sijaleta uzi huu kwa misingi ya kubeza,kuna mazuri mengi tunaweza kujifunza kwa wenzetu wanaotangulia mbele ya haki.Wewe ukiwa kama marehemu mtarajiwa jipange kuacha jambo fulani kwa wengine kujifunza
Waza utapata wapi ada ya watoto, maana unajisahaulisha kwa kujadili yasiyokuhusu Mkuu
 
Umejuaje kuwa hilo ni tatizo kwangu mkuu ! Get out of the box ,kama hauna info kaa kimya mkuu ! Sijaleta uzi huu kwa misingi ya kubeza,kuna mazuri mengi tunaweza kujifunza kwa wenzetu wanaotangulia mbele ya haki.Wewe ukiwa kama marehemu mtarajiwa jipange kuacha jambo fulani kwa wengine kujifunza
Achana na hii hoja maana umeileta wakati usio sahihi! Si vizuri kujadili madhaifu ya mtu baada ya kifo chake. Ingekuwa vema kama ungejadili hili mwaka Jana kuliko sasa ambapo familia iko kwenye majonzi wewe unaanzisha hoja ambayo inaweza kuleta kumbukumbu mbaya kwa watoto wa marehemu maana wao ndio walikuwa waathirika wakuu baada ya kuvunjika kwà ndoa ya wazazi wao.
 
Sawa mkuu
Achana na hii hoja maana umeileta wakati usio sahihi! Si vizuri kujadili madhaifu ya mtu baada ya kifo chake. Ingekuwa vema kama ungejadili hili mwaka Jana kuliko sasa ambapo familia iko kwenye majonzi wewe unaanzisha hoja ambayo inaweza kuleta kumbukumbu mbaya kwa watoto wa marehemu maana wao ndio walikuwa waathirika wakuu baada ya kuvunjika kwà ndoa ya wazazi wao.
 
Amefariki kwa kuweka mkeka wa laki na hamsini. Ulivyochanika na yeye hapo hapo.
 
Unataka matusi ya KIBAVICHA NA KICHAGGA subiri hapo hapo.



R.I.P MZEE WETU.
 
Umejuaje kuwa hilo ni tatizo kwangu mkuu ! Get out of the box ,kama hauna info kaa kimya mkuu ! Sijaleta uzi huu kwa misingi ya kubeza,kuna mazuri mengi tunaweza kujifunza kwa wenzetu wanaotangulia mbele ya haki.Wewe ukiwa kama marehemu mtarajiwa jipange kuacha jambo fulani kwa wengine kujifunza

Mfano uliou set ni wa majungu, hayakuhusu, fanya something productive, kama hauna kazi na leo ni jumamosi, uwa hata mbu wanaowasumbua, au osha vyomba, au hata mwagina maji garden, that is moreproducti e
 
Haya
Mfano uliou set ni wa majungu, hayakuhusu, fanya something productive, kama hauna kazi na leo ni jumamosi, uwa hata mbu wanaowasumbua, au osha vyomba, au hata mwagina maji garden, that is moreproducti e
 
Umejuaje kuwa hilo ni tatizo kwangu mkuu ! Get out of the box ,kama hauna info kaa kimya mkuu ! Sijaleta uzi huu kwa misingi ya kubeza,kuna mazuri mengi tunaweza kujifunza kwa wenzetu wanaotangulia mbele ya haki.Wewe ukiwa kama marehemu mtarajiwa jipange kuacha jambo fulani kwa wengine kujifunza
Brother mbona kama umepanik??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi pia nafahamu kilichojiri, ila sitakiandika humu. Hata siku za mbeleni.. umeshindwa kuuliza huko ulipo unataka watu waongelee haya huku hata marehrmu hajazikwa!! Jionee aibu
 
Sijapaniki hata nukta but ninachoshangaa ni kuona baadhi wanaona ni jambo baya sana kujadili baadhi ya mambo yanayomhusu marehemu hatakama si kwa ubaya duhh///wakuu lazima tutambue kuwa kifo ni kifo tu na wote humu tujihesabie kuwa ni marehemu watarajiwa,kikubwa tusimkejeli marehemu whether amezikwa au la !
 
Back
Top Bottom