Barcelona763
Member
- Mar 9, 2018
- 26
- 21
Afadhali sikuelewiMshauri yule boya alikiba aache maana hajui kitu kuhusu kuimba
Watu wenye chuki vifuani mwao zikizidi wanabwatuka hadi mtandaoni!Afadhali sikuelewi
"Wivu hukaa kifuani kwa mtu mjinga"Mshauri yule boya alikiba aache maana hajui kitu kuhusu kuimba
Anataka bananaHata huyu choko anaeitwa dogo janja mziki wake siuelew kabisa
Hawa wasanii was bongo flava sina Imani kwa sababu naheshimu kazi zao ila inabidi waelekezwa kuhusu jinsi ya kuhimudi uimbaji wao.
Nuh Mziwanda, Shilole, Giggy Money na Young D
Aiseee " itakuwA haujui mzikiMshauri yule boya alikiba aache maana hajui kitu kuhusu kuimba
Kujua kuimba na kutengeneza hit ni mambo mawili tofauti, mtu kama anaweza kutengeneza hits na zikamuingizia mpunga inamtosha kuendesha maisha yake... sasa anapotokea mtu anakomaa et waache muziki mi huwa sielewi!! Maana sio lazima kumsikiliza kila msanii!!Wanaojua kuimba hapa bongo ni wachache sana mkuu, hawa wengine wanafanya ili mkono uende kinywani sio kwa malengo.