Sangara samaki au???
hivi sangara ni mdudu??!?!?! mie najua samaki?!?!?
Ni mdudu kwa umbo yupo kama siafu, ni super active kuliko siafu, nlishuhudia hospitali 2 bagamoyo zimefunga kabisa huduma ya mortual bcz ya sangala, ukilaza maiti mkija asubuhi mnakuta amesha ng'olewa macho
Ni mdudu kwa umbo yupo kama siafu, ni super active kuliko siafu, nlishuhudia hospitali 2 bagamoyo zimefunga kabisa huduma ya mortual bcz ya sangala, ukilaza maiti mkija asubuhi mnakuta amesha ng'olewa macho
Kwan "ra" na "la" zinatofauti?
Tujadili wadudu au Insects ?
Sangara samaki au???
hivi sangara ni mdudu??!?!?! mie najua samaki?!?!?
Aisee mm simfaham sangara mdudu.
Siafu anajulikana huyo sangara umetumia lugha ya kwenye mtaje kiswahili tukusaidie
Hapo ni mkubwa na mdogo wamekutana njiani, ni sharti hawa Sangala wasalimiane.
Naomba ushauri ndugu jinsi yakuwaondoa hao sangara shambani! Wanasumbua sana!Kwa wenyeji wa kibaha, bagamoyo hata tanga ni jina la kawaida