The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Mkuu sio ishu banaa uwe unapita pita basiBig Bro ODM habari yake baaana. Uko pouwa?? Pamoja mkuu. Nimecheka ile mbayaaa jo umefumaniwa eeh?
Hahahaha...Mkuu haya mambo huwezi jua. Hebu msome huyu hapa chini, waweza kuta ndo yeye.Usimfundishe mambo ya PM bibi yetu, maana Kimey atampa lile faili zima la katiba ya ICS!
Sasa sijui utatokea wapi!...
Lakini mbona bibi hajitokezi?...Anza kuogopa, maana huenda ashaambiwa tayari!
Hivi Bibi Ndio mimi ? or Dawa ya maumivu ulikuwa wapi?
Skulmeti sijapotea. Tatizo pale...... imekuwaje wahudumu wamekuwa midume mitupu?Skulimeti umepotea sana bana!
Pole sana....tatizo kwenu Mbagalaaaa!mie mmenipoteza
Kama una jeuri, huyu hapa chini.Nikimfehem nitaanza mchokoza na PM....:A S-baby:
Sooo sorrry my darling....hebu msome huyu fataki hapo juu afu unambie kwa PM utamtenda nini.Ni mie kumbe siku zote ulikuwa hujanijua KIPENZI CHANGU :bange::bange::bange:
hahahaaaaa.......
Mambo ya kuwa Aspr-IN watoto wa watu pale Kambi ya Fisi Arusha na Mianzini sasa kwishieni.
Maana nasikia ulikuwa waingia kwa Gia ya mie ndiye Aspr-IN wa JF......... unaanza kugawa Autograph na namba ya simu 🙂
Sawa babu wamekusikia wajukuu zako na mwambie bibi kuwa hao walikuwa watoto wa Chekechea wakati unakula Ndizi za Mzee Lugundi na mama Fadhila hihiiiiiii
Babu I Love Youuuuuu and only Youuu (mtu mzima hatishiwi nyau Babu ah ndo unapanga kunifukuzia wale Bibi zangu wa Kambo?)
Hahaha...hatimaye mjukuu mtiifu amefufuka kama alivyosema.
Ahsante hapo kwenye mabano bibi mtiifu hatapasoma (sijui kama ameshaujua huo uchakachuaji)
BTW umepotelea wapi mbona sijakukagua siku nyingi.
Babu loves mjukuu mtiifu. Be a good girl for Babu. ok?
Hahahah nimeamua kukuchokoza ............nipo Babu naitafuta ahadi ya Kikwete ...........Maisha bora kwa kila Mtanzania
Mjukuu hebu ninong'oneze basi huyu Bibi leo kaamkia wapiBabu I Love Youuuuuu and only Youuu (mtu mzima hatishiwi nyau Babu ah ndo unapanga kunifukuzia wale Bibi zangu wa Kambo?)
Hahahahah Babu hajui kuwa ndo keshatwa kwenye chupa tena................(Atoe ID ya Bibi ili watu wamchakachue PM ............nina hakika alivyo Mtiifu lazima ajifute)Mjukuu hebu ninong'oneze basi huyu Bibi leo kaamkia wapi
Hivi wewe si bado unanyonya?...Ngoja nikuletee pampers..........Mjukuu hebu ninong'oneze basi huyu Bibi leo kaamkia wapi
Nachokupendea mjukuu mtiifu ni hapo tu....kuandikia kwa chaki nyeusi.....bila mawani bibi hasomi kitu.Hahahahah Babu hajui kuwa ndo keshatwa kwenye chupa tena................(Atoe ID ya Bibi ili watu wamchakachue PM ............nina hakika alivyo Mtiifu lazima ajifute)
Sasa sijui tuseme ndio amekamatia au ujanja wote mfukoniHahahahah Babu hajui kuwa ndo keshatwa kwenye chupa tena................(Atoe ID ya Bibi ili watu wamchakachue PM ............nina hakika alivyo Mtiifu lazima ajifute)
Nguli Jabali fantastic pose, stress not applicable.:happy::happy:
Sasa huu ndio unaitwa unoko sasa. Bibi ataachaje kujua idadi ya wajukuu wa babu ambao pia ni wajukuu zake?
Afu hebu njoo huku nikukague.
Na uzuri wako una-Post Via Mobile....Afadhali mimi c mjukuu bali ni rafiki mpenzi wa Big Braza ODM so PM allowed
Homeboy ulipotelea mitaa gani?Ha ha ha hili pose la Kisharo b mambo vipi? long time. Hongereni nasikia Preta ana Mapacha.
Afu sikumbuki kama nlishakukagua wewe. Hebu ukuje huku tudumishe mila.Sio unoko babu, inatakiwa bibi afahamu idadi kamili hasa ya sisi wajukuu tuliopatikana kipindi kileee ukamficha.
ukaguzi mpaka bibi awepo