Siamini hii chura naila kesho.. Swalalaahh

Kwani vipi jamani.. Kuna mwenye tatizo hapo..

Hahahahaha.

Happy Pasaka to u all

ID yako hivyo ndivyo inavyopashwa kuandikwa au ulikuwa unataka kumaanisha vingine Mkuu kwani kwa sisi Watu tuliozaliwa na kukulia hii mikoa ya Pwani inatupa ' ukakasi ' sana kuielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…