Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Hapa ndipo tulipobugi yaani unamuongeza mkataba Wawa unamuacha Juuko aende hili sikulipenda kabisaawachawi wetu ni shabalala na wawa sijui simba kwanini waliongeza mkataba wa wawa na kumwacha Juuko