Siamini kabisa kwa January Makamba na Nape Nnauye

Siamini kabisa kwa January Makamba na Nape Nnauye

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Miaka si mingi iliyopita January Makamba alikuwa anasemwa ni smart na anafaa kuwa Rais. Siamini nani alimbadilisha akamleta huyu.

Nape pia kuna kipindi alikuwa shujaa sana. Sasa najiuliza ndo huyu huyu au alinafilishwa? Na wapiga debe walikuwepo humu wa ndani na nje ya chama.

Usimwamini mwanasiasa. Labda pale tu anapotaja jina lake wakati wa kuomba kura.
 
Wote wawili wana laana ya kumtukana Magufuli mwisho wao kisiasa ni mbaya sana
 
Kama yote yanazungumzwa kuwa nyuma ya Kikwete ni ya kweli, basi huyu mheshimiwa atakuwa ni mtu smart sana kuwahi kutokea nchi hii
 
Wote wawili wana laana ya kumtukana Magufuli mwisho wao kisiasa ni mbaya sana
Magufuri ni nani hasa? Mbona ye ndo ana laana kama zote kwa watanzania wengi aliowafanyia ushetani.
 
Crimea Idugunde Etwege Sang'udi Stroke
Lwiva comte Nyankurungu2020 mnaitwa na huyu jamaa
👇
Miaka si mingi iliyopita January Makamba alikuwa anasemwa ni smart na anafaa kuwa Rais. Siamini nani alimbadilisha akamleta huyu.

Nape pia kuna kipindi alikuwa shujaa sana. Sasa najiuliza ndo huyu huyu au alinafilishwa? Na wapiga debe walikuwepo humu wa ndani na nje ya chama.

Usimwamini mwanasiasa. Labda pale tu anapotaja jina lake wakati wa kuomba kura.
 
Pambana na maisha yako bwashee
Miaka si mingi iliyopita January Makamba alikuwa anasemwa ni smart na anafaa kuwa Rais. Siamini nani alimbadilisha akamleta huyu.

Nape pia kuna kipindi alikuwa shujaa sana. Sasa najiuliza ndo huyu huyu au alinafilishwa? Na wapiga debe walikuwepo humu wa ndani na nje ya chama.

Usimwamini mwanasiasa. Labda pale tu anapotaja jina lake wakati wa kuomba kura.
 
Back
Top Bottom