ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Habari za huko?
Kuna hii kauli naisikia toka zamani Sana kwamba kuwaongezea watumishi mishahara au motisha Basi kunapunguza tamaa za wao kufanya ufisadi.
Hebu tuchukulie kwa mfano kada Kama za udkatari au uaskari let's say mfanyakazi analipwa Million moja kwa mwezi na kila siku ana force apate rushwa ya 30000 yaani ameshazoea tayari, je ni kweli kwamba ukimlipa millioni mbili kwa mwezi ataziacha zile pesa anazopata kwa rushwa.
Hili si kweli nachojua Mimi kipato cha mtu kikiongezeka Basi na matumizi yanaongezeka maradufu ikumbukwe hakuna mtu anashiba pesa hata Mimi japo Sina njaa Ila sijaridhika Bado na kiwango nachopata.
Hivyo namalizia kwa kusema hii kauli haina ukweli wowote Kama mnawapa watu motisha wapeni kama nyongeza wapeni ili kukabiliana na maisha lakini sio kusema itapunguza rushwa na vitendo vya kifisadi haipunguzi hata robo.
Kuongeza maslahi ya mfanyakazi hakuna uhusiano na kuzuia rushwa Kama NI NJIA nyingine Basi itafutwe kukabiliana na rushwa.
Kuna hii kauli naisikia toka zamani Sana kwamba kuwaongezea watumishi mishahara au motisha Basi kunapunguza tamaa za wao kufanya ufisadi.
Hebu tuchukulie kwa mfano kada Kama za udkatari au uaskari let's say mfanyakazi analipwa Million moja kwa mwezi na kila siku ana force apate rushwa ya 30000 yaani ameshazoea tayari, je ni kweli kwamba ukimlipa millioni mbili kwa mwezi ataziacha zile pesa anazopata kwa rushwa.
Hili si kweli nachojua Mimi kipato cha mtu kikiongezeka Basi na matumizi yanaongezeka maradufu ikumbukwe hakuna mtu anashiba pesa hata Mimi japo Sina njaa Ila sijaridhika Bado na kiwango nachopata.
Hivyo namalizia kwa kusema hii kauli haina ukweli wowote Kama mnawapa watu motisha wapeni kama nyongeza wapeni ili kukabiliana na maisha lakini sio kusema itapunguza rushwa na vitendo vya kifisadi haipunguzi hata robo.
Kuongeza maslahi ya mfanyakazi hakuna uhusiano na kuzuia rushwa Kama NI NJIA nyingine Basi itafutwe kukabiliana na rushwa.