Siamini kama nimepona vidonda vya tumbo....

mihadarati

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
268
Reaction score
74
Ni kwa muda mrefu nilisumbuliwa na tatizo la ugonjwa wa vidonda vya tumbo..hakuna dawa ambayo niliisikia,niliambiwa,niliona ikitangazwa kwenye media mbalimbali ambayo sikuinunu a bila kujali gharama kwani nilichoshwa na kushindwa kufanya mambo yangu mengi kutokana na ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo.

Lakini hadi sasa nikimwambia mtu kuwa nimepoana kabisa vidonda vya tumbo hawaamini licha ya kwamba taarifa zangu za hospitali zinaonesha nilikuwa na tatizo hilo ambalo nilifikia hatua mbaya kabisa kabisa kiafya na kushindwa kufanya mambo yangu mengi.

Mwakani nilikuwa ziarani Jijijini Mwanza kikazi bahati nzuri nilikutana na classmate wangu niliyesoma nae chuo baada ya kukaa na kuzungumza mambo mawili matatu alianza kunieleza jinsi ambavyo amesumbuliwa na ugonjwa kama wangu lakini anafurahi kwa sasa amepona kabisa sikuamini.

Nilitaka aniambie dawa ambayo aliyotumia ndiyo akaniambia ametumia dawa ya AMBAKAS ambayo ilimpatia uponyaji baada ya wiki moja tu kitu ambacho sikutaka kuamini bali nilichofanya kwa kuwa nilikuwa nimebanwa sana na kazi nilimuomba anitumie baada ya mimi kuondoka Mwanza na kuja Jiji Arusha kikazi.

Naomba niwe muwazi nimeandika ujumbe huu bila kushawishiwa na mtu yoyote..Dawa hii ambayo nilikuwa nikitumia na asali mbichi na maziwa fresh pamoja na orodha ya vyakula nilivyopewa ilinisaidia na mimi nikaona nisiwe mbinafsi kwani naamini pia wapo wanaoteseka kama mimi na ugonjwa huo.

Kikubwa katika kupatiwa dawa hii ya Ambakas huwezi kupatiwa kama hujafanya vipimo na kubainika kuwa una tatizo hili la vidonda vya tumbo kitu ambacho ilinipasa pia kufanya hivyo.

Mimi nilikatishwa tamaa na watu wengi wakiwemo wafanyakazi wenzangu kuwa vidonda havitibika na mimi nilikuwa nimeshafika nusu ya kuamini kutokana na dawa pamoja na hospitali mbalimbali ambazo nilikuwa nimewahi kwenda bila matokeo yoyote..zikiwemo za wachina lakini kwa sasa niko vizuri

Wana Jamvi ni hayo tu kwa leo.
dawa yenyewe kama mnavyoina hapo pichani..



 
Naamini kwamba taarifa hii itakuwa ni sahihi na itatusaidia wengi..kwa upande wangu nina ndugu yangu ambaye amesumbuliwa kwa muda na vidonda vya tumbo hivyo ntaomba uni PM nipate contact zako kama hutojali ili niweza kuwasiliana na mhusika kupata dawa hiyo..mimi naamini sana katika dawa za asili hasa ninapopata ushuhuda kama wako.
 
Inapatikana wapi hii dawa,na matumizi yake yapo vp yaan.?
 

Hivi ugonjwa huu unasababishwa na nin ukiacha wale ambao wamekuwa hawali na kupitiliza muda wa kula..kwani nimekuwa nasikia wengine hata waliokuwa wanakula kwa muda na kutorusha muda lakini bado wananiambia wanaumwa vidonda vya tumbo
 
Inapatikana wapi hii dawa,na matumizi yake yapo vp yaan.?

Kwa sasa inapatikana mwanza,japo jamaa ananiambia anampango wa kusambaa mikoa yote..matumizi yake
asubuhi nlikuwa nakunywa maziwa fresh ya ngombe yaliyochemshwa naweka asali kijiko kimoja vitafunwa vyangu nilitakiwa visiwe amira baada ya nusu saa nilikunwa dawa kikombe kidogo cha chupa ya chai..baada ya kunywa dawa nilikuwa nakula vijiko 3 vya asali mbichi..asubuhi hapo asubuhi inakuwa imepita na ikifika saa nne nakunywa uji usiokuwa ulezi..mara nying nlikunywa wa suji.na sikuweka mtindi kwa sababu yana acid mchana saa sita mpaka saba lazima niwe nimekula chakula na baada ya hapo dawa kikombe kidogo na kula vijiko vitatu vya asali hapo mchana imeisha saa kumi na moja unatakiwa upate matunda kama tikiti maji papai pamoja na karoti..baada ya hapo unasubiri chakula cha usiku naa baada ya hapo nakunywa dawa kikombe kidogo na vijiko vitatu vya asali siku imekuwa imeisha.
 
Kama hujatumwa hebu utuambie hvyo vyakula vnavyambatana na utumiaji wa hii dawa
 
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi.
 

Una uhakika na hilo? nijuavyo "mwakani" ni future. Sasa kama ulikuwa ziarani Mwanza "mwakani" utakuwa ni wa ajabu.
 
Huyu jama mi naona ndo muuzaji mwenyewe, acha janja ya nyani, we kuwa muwazi tu hapa ndo JF hautatozwa kodi usiwe na wasiwasi
 
Samahn nilikuwa buz kidog wadau na majukumu naomba niweke namba ya mhusika kwa msaada zaid

0759174667/0652651318
 
Huyu jama mi naona ndo muuzaji mwenyewe, acha janja ya nyani, we kuwa muwazi tu hapa ndo JF hautatozwa kodi usiwe na wasiwasi

Ni mtazamo wako..Na cwez kukulazimisha kuamin.. kama huna hilo tatizo waache wenye kuweza kusaidika wasaidiwe wew waweza kuendelea na post nyingn ndugu.
 

unahabari kwamba mfumo wa ulaji ndo uliokupa nafuu?kama kuna mgonjwa wa vidonda afuate huu utaratibu kisha alete majibu.
kwanza kabisa ondosha wasiwasi na uoga kisha tumia soya badala ya majani ya chai,
tumia cabbage Zaidi zile green vegetables punguza sana,kula parachichi na matunda yasiyo na asidi,
kula ugali laini,usikose bamia punguza sana kula wali.
tumia viazi pia waweza kuchanganya yai na asali kama haupati kichefuchefu.
 

Hiyo ni kweli kabisa, na kitu kingine kula kiasi chakula sio kuvimbiwa, wakati wa usiku kula mapema sio kula na kupanda kitandani, mwisho hasira, wasiwasi inabidi kuacha, kila kitu tusamehe tusikae na kinyongo moyoni.
 
JF ianze kutoza hela kwa matangazo ya biashara kama hili.
 
Ni mtazamo wako..Na cwez kukulazimisha kuamin.. kama huna hilo tatizo waache wenye kuweza kusaidika wasaidiwe wew waweza kuendelea na post nyingn ndugu.
Endelea kuwasaidia wanaohitaji ndugu,kuna watu ambao kwa maumbile yao hawaugui mara kwa mara au hawaugui kabisa,sasa hata ungeeleza nini kuhusu matibabu ya dawa flani wataona uko kwenywe mzaha lakini siku akishashikika akiambiwa hata mkojo ni dawa atakunywa.
 
Kitendo cha kuitangaza hiyo dawa ni wazi nina mashaka na hata huo ujumbe wako ni sawa na yule jamaa wa Lactogeni wa RFA anayetoa ushuhuda wa kupona vidonda vya tumbo,ni zaidi ya mwaka namsikia yeye tu akitoa ushuhuda utafikiri ni yeye peke yake ndio aliyekunywa hiyo dawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…