Siamini kama nimepona vidonda vya tumbo....

mm vidonda vya tumbo vilipona kwa kupendelea kupiga mafundo ya asali...
 
Mleta mada anasema "MWAKANI NILIKUWA ZIARANI JIJINI MWANZA" jamani huu si uongo kabisa,,, Mwakani!!!! is it typing error au ndio kutufanya sisi watoto
 
uliitumia kwa muda gani na una uhakika gani vimepona havita rudia tena mana wengi hutumia na kufata masharti lakini baada ya muda vinarudi tena
 
Kama hujatumwa hebu utuambie hvyo vyakula vnavyambatana na utumiaji wa hii dawa

Tiba zote hasa za vidonge asilia ni lazima kabla hujapewa dawa, utatakiwa ule vyakula fulani ambavyo ni ghali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…