Aweeee. Unafaa kabisa wewe. Nimeulizia kwanza kama ntapata yule samaki halafu ndo nije hapo.Ukitaka na usafiri nitakupeleka mpaka nyumbani sina shida na wewe as long we are friends its ok with me.....[emoji4] [emoji4]
Umeulizia umemkuta hujamkuta bestie...Aweeee. Unafaa kabisa wewe. Nimeulizia kwanza kama ntapata yule samaki halafu ndo nije hapo.
[emoji39] [emoji39] [emoji39]Aweeee. Unafaa kabisa wewe. Nimeulizia kwanza kama ntapata yule samaki halafu ndo nije hapo.
Sasa hapo si ndo bdo hajaanza,akianza umvumilie mkuubahati nzuri yeye uhuni hajawahi kufanya....
Si amempata Mama Sabrina au Dinazarde wa shinyanga! Unajua mtu kama GuDume ni kunguru hafugiki umri bado unaihitaji kutesti k za kila aina
Unamsingizia Miss Natafuta ! Hukumbuki Nyani Ngabu alimtema Nani? Hivyo ameamua kujishikiza kwa GuDume
Pole utazoea tuunaelekea kuzidi hebu Fanya kama hunijui basi hata nikiamua kuwa na GuDume au yeyote k ni yangu natumia nitakavyo au inakuumiza maana hauishi kunitaja
OK kama unajisikia vizuri basi endeleaPole utazoea tu
Tunafurahia sredi zako na hayo ndo majibu. Pole sana utazoea tu. Ukitaka wasikuzungumzie acha kujieleza kiundani mitandaoni la sivyo tupo ambao tunaunganisha dots.OK kama unajisikia vizuri basi endelea
ndio kila sehemu unanitaja yaan we unaniwaza tu Mimi kha , we umezuiwa kuzungumzia yako!!we ndio nikupe pole maana naona ukinitaja unapata nafuu ,eti niache !!unalazimisha mazoeaTunafurahia sredi zako na hayo ndo majibu. Pole sana utazoea tu. Ukitaka wasikuzungumzie acha kujieleza kiundani mitandaoni la sivyo tupo ambao tunaunganisha dots.
Kuna watu wanataka mazoea ili wapate free P. Kwa bahati mbaya mimi kitovu kiliangukia kadushe kangu nikiwa mdogo, hivyo sina mawazo ya kukuomba nijumuike katika karamu ya Bwana. Ni katika kusogeza siku na wakati huu ambapo ajira zimekuwa adimu. Usikereke na utembee kifua mbele kwani wewe ni mtu muhimu hapa JF.ndio kila sehemu unanitaja yaan we unaniwaza tu Mimi kha , we umezuiwa kuzungumzia yako!!we ndio nikupe pole maana naona ukinitaja unapata nafuu ,eti niache !!unalazimisha mazoea
uwe na siku njema
usisahau pia ni mtu muhimu sana kwako kama una mengine utanicheki kuleKuna watu wanataka mazoea ili wapate free P. Kea bahati mbaya mimi kitovu kiliangukia kadushe kangu nikiwa mdogo, hivyo sina mawazo ya kukuomba nijumuike katika karamu ya Bwana. Ni katika kusogeza siku na wakati huu ambapo ajira zimekuwa adimu. Usikereke na utembee kifua mbele kwani wewe ni mtu muhimu hapa JF.
Sijawahi na sitaingia PM kwa mtu yeyote. Kama kuna jambo namwaga hapa uwanjaniusisahau pia ni mtu muhimu sana kwako kama una mengine utanicheki kule
uwe na maisha mema