MADARAKA DANIEL
Member
- Oct 26, 2012
- 93
- 22
Inasemekan boom litatoka kuanzia tarehe 12 mwezi wa tano,sasa hali ilivyokuwa ngumu hapa chuoni ukipita maeneo ya hall 2&5 utasikia watu wanasema njaaaaaa...njaaaa njaaaaa,ndio wimbo.tutaamkiana hapa mjini.