Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
viongozi wanatukana arharani, alafu wanatuomba ridhaa ya kuwachagua,mi naona wangekuwa wanashindana kwa sera zenye kujenga na si kutumia lugha za matusi na jaziba,maana mie kama mtanzania niliyeelimika nimesha mshushia heshima yake kiongozi kama huyu.