Wadau
vyuo vikuu kuna kozi zilizoanzishwa ambazo hufundisha masomo ya kufundishia kama vile biology, chemistry, physics , history na mengineyo. Tatizo la kozi hizi ni pamoja na changamoto za kutokuwa na mwelekeo baada ya kuhitimu kozi hizi. Watu huchaguliwa na kuchagua masomo hayo wengi wakiamini kuwa wanaenda kusomea ualimu lakini baada ya kufika huko huambiwa wao si waalimu bali ni wataalamu tu wa somo fulani na hawafundishwi masomo ya ualimu na hivyo kuongeza tatizo la ukosefu wa ajira mtaani.
Baada ya hapo najiuliza je mtaalamu wa kiswahili, biology, geography nk kwa tanzania hana kazi?
Kama tuna watu kama hawa seriikali haioni umuhimu wa kufuta tatizo la walimu katika shule zetu kwa kuwapa vipaumbele hawa na kuwaboreshea elimu yao?
Lengo la kuanzisha kozi hizi katika vyuo vikubwa kama udom, udsm nk ni sababu za kisiasa na malengo yake ni nini hasa?
karibuni wadau kwa mjadala
vyuo vikuu kuna kozi zilizoanzishwa ambazo hufundisha masomo ya kufundishia kama vile biology, chemistry, physics , history na mengineyo. Tatizo la kozi hizi ni pamoja na changamoto za kutokuwa na mwelekeo baada ya kuhitimu kozi hizi. Watu huchaguliwa na kuchagua masomo hayo wengi wakiamini kuwa wanaenda kusomea ualimu lakini baada ya kufika huko huambiwa wao si waalimu bali ni wataalamu tu wa somo fulani na hawafundishwi masomo ya ualimu na hivyo kuongeza tatizo la ukosefu wa ajira mtaani.
Baada ya hapo najiuliza je mtaalamu wa kiswahili, biology, geography nk kwa tanzania hana kazi?
Kama tuna watu kama hawa seriikali haioni umuhimu wa kufuta tatizo la walimu katika shule zetu kwa kuwapa vipaumbele hawa na kuwaboreshea elimu yao?
Lengo la kuanzisha kozi hizi katika vyuo vikubwa kama udom, udsm nk ni sababu za kisiasa na malengo yake ni nini hasa?
karibuni wadau kwa mjadala