SIASA KWENYE MICHEZO HAWEZI KUPIGA HATUA

mwakajana

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2017
Posts
229
Reaction score
183
Mimi ni mwanamichezo ninaefahamu kuwa michezo ni ajira,furaha na afya.Kwa sasa duniani kote wanamichezo wamekuwa miongoni mwa matajiri duniani.
Hoja iliopo tunamwomba Mwenyekiti wa CCM akubali kuachia viwanja ili virudi kwa halmashauri kusudi viboreshwe na vipate uwekezaji mkubwa kwa maendeleo ya Taifa, na tutoke kwenye hii zana ya kuchanganya michezo na siasa
 
Huyo rais wa tff Wallace karia ndo anatuharibia mpira wetu kwa kuifanya tff tawi LA ccm!...hopeless sana!
 
Unadhani ccm ipo kwa ajili ya maendeleo ya watanzania? Hicho chama kipo kwa ajili yake na wanachama wake tu. Viwanja vilikuwa ni vya watanzania wote, ila kwa kutumia njia zao za kiharamia wakaamua kujimilikisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…