johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata Hayati Magufuli alijulikana sana alipobinafsisha Nyumba za serikali Maneno yakawa mengi na kila mtu akamjua
Siasa ni Watu wakujue kwanza iwe kwa wema au ubaya kisha baadae unatenda mema na mema kuelekea Kiti cha enzi
Sasa kila mtu anamjua Mpina na ukifika uchaguzi 2030 hatahitaji kutumia Nguvu nyingi kujitambulisha
Siasa ni Sayansi 😂
Siasa ni Watu wakujue kwanza iwe kwa wema au ubaya kisha baadae unatenda mema na mema kuelekea Kiti cha enzi
Sasa kila mtu anamjua Mpina na ukifika uchaguzi 2030 hatahitaji kutumia Nguvu nyingi kujitambulisha
Siasa ni Sayansi 😂