Siasa safi Tanzania imechochea na kukuza biashara na ajira nchini

Siasa safi Tanzania imechochea na kukuza biashara na ajira nchini

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni dhahiri siasa safi za maendeleo zinazofanyika Tanzania, zimechochea na kuimarisha mazingira bora zaidi ya kufanya biasha, na kusababisha hivi sasa, karibu kila eneo mijini na vijijini kuna soko, duka au masoko ya bidhaa mbalimbali yamafunguliwa.

Hizi zote ni ajira zinazotokana na fursa muhimu sana ya mazingira, mahitaji na masoko ya kufanya biashara.

Hii ni ishara njema kwamba nchi imefunguka pakubwa, uwekezaji biashara, viwanda, kilimo na masoko vimeongeza ajira kwa kiasi kubwa sana na uelekeo wa kupiga hatua kubwa zaidi kama nchi kimaendelo ni mzuri sana....

MUHIMU ZAIDI KUZINGATIA KULIPA KODI YA SERIKALI INAYOSTAHILI KWA HIYARI NA KWA WAKATI...

Uelewa na ufahamu wa wanainchi kisiasa unakwenda sambamba na kuinua uchumi wao, kuinua vipato na hali za maisha yao, lakini pia na kuongeza ajira nyingi zaidi katika sekta za biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nakadhalika, hakuna biashara ya kukosa soko Tanzania kwa sasa.

Mama ameifungua nchi, tumuombee aendelee zaidi ya hapa alipotufikisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Umeandika ushuzi..!
nimeingia dar jana jioni,
nikapita njia ya mbezi -kinyrezi -segerea hadi mjini kati hotel niliyofikia,

huwez tembea hatua zaidi ya 5 au chini ya10 usikute biashara ama ya duka la nguo, vyakula, vinywaji hardware, vifaa vya ofisini n.k yaani ni biashara, biashara, biashara, kushoto biashara, kulia biashara, kumependeza kwa biashara mbalimbali,cheki hata mitandoni ni biashara tu...

hizi ni ajira, na haya ni masoko na biashara inafanyika.....
na Lazima mazingira yaboreshwe zaidi ili kuzalisha ajira zaidi....

sasa ikiwa uelewa na ufahamu wa mtu unashia mathalani kama kwenye reply hii, shida na tatozo linabaki ni binafsi yako tu labda kwa hofu ya kutokuthubutu kuingia kwenye ajira hii muhimu na uhakika ya biashara...

muhimu zaid shida binafsi zikatatuliwa kibinafs....

ila ukweli lazma usemwe tu bila kujali maneno mbofu mbofu 🐒
 
Jikite kwenye mada

"SIASA SAFI TANZANIA IMECHOCHEA NA KUKUZA BIASHARA NA AJIRA NCHINI"​

ndio,
siasa safi bila fujo bali amani, utulivu, ulinzi na usalama wa watu, mali na biashara zao ni wa kutosha kabisaaaa.....

unafunika biashara yako na turubai tu kesho yake unaikuta salama, unafungua unaendelea kuchapa kazi....

bila siasa safi huwezi kufanya biashara wala kuzalisha ajira kwenye biashara....

haya ndio matunda ya siasa safi 🐒
 
nimeingia dar jana jioni,
nikapita njia ya mbezi -kinyrezi -segerea hadi mjini kati hotel niliyofikia,

huwez tembea hatua zaidi ya 5 au chini ya10 usikute biashara ama ya duka la nguo, vyakula, vinywaji hardware, vifaa vya ofisini n.k yaani ni biashara, biashara, biashara, kushoto biashara, kulia biashara, kumependeza kwa biashara mbalimbali,cheki hata mitandoni ni biashara tu...

hizi ni ajira, na haya ni masoko na biashara inafanyika.....
na Lazima mazingira yaboreshwe zaidi ili kuzalisha ajira zaidi....

sasa ikiwa uelewa na ufahamu wa mtu unashia mathalani kama kwenye reply hii, shida na tatozo linabaki ni binafsi yako tu labda kwa hofu ya kutokuthubutu kuingia kwenye ajira hii muhimu na uhakika ya biashara...

muhimu zaid shida binafsi zikatatuliwa kibinafs....

ila ukweli lazma usemwe tu bila kujali maneno mbofu mbofu 🐒
Halafu unajisifu kwamba kuna kitu umeandika hapa
 
Halafu unajisifu kwamba kuna kitu umeandika hapa
hakuna haja kusifia ukweli....
yaani mambo yako hadharani mchana kweupe then unasifia?

unless unataztizo jengine....
na actually si ndio maana umereply maana yake kuna kitu nimeaandika ila huna unachoweza kukibatilisha 🐒
 
hakuna haja kusifia ukweli....
yaani mambo yako hadharani mchana kweupe then unasifia?

unless unataztizo jengine....
na actually si ndio maana umereply maana yake kuna kitu nimeaandika ila huna unachoweza kukibatilisha 🐒
Uchawa na uchawi vinatenganishwa na uzi mwembamba sanaaaa
 
Tunaposema mda mwingine ukihisi nyege piga nyeto. Maana yake ndio hii. Kunambegu ilibidi zimwagwe chooni au kwenye kitambaa tu.
 
Uchawa na uchawi vinatenganishwa na uzi mwembamba sanaaaa
mbona huna hoja sasa kuhusu hoja iliyopo mezani....

hiyo porojo ya mihemko, si ni useless tu, mie si hodari wa maneno mbofu mbofu.mimi ni wa hoja tu 🐒
 
Ni dhahiri siasa safi za maendeleo zinazofanyika Tanzania, zimechochea na kuimarisha mazingira bora zaidi ya kufanya biasha, na kusababisha hivi sasa, karibu kila eneo mijini na vijijini kuna soko, duka au masoko ya bidhaa mbalimbali yamafunguliwa.

Hizi zote ni ajira zinazotokana na fursa muhimu sana ya mazingira, mahitaji na masoko ya kufanya biashara.

Hii ni ishara njema kwamba nchi imefunguka pakubwa, uwekezaji biashara, viwanda, kilimo na masoko vimeongeza ajira kwa kiasi kubwa sana na uelekeo wa kupiga hatua kubwa zaidi kama nchi kimaendelo ni mzuri sana....

MUHIMU ZAIDI KUZINGATIA KULIPA KODI YA SERIKALI INAYOSTAHILI KWA HIYARI NA KWA WAKATI...

Uelewa na ufahamu wa wanainchi kisiasa unakwenda sambamba na kuinua uchumi wao, kuinua vipato na hali za maisha yao, lakini pia na kuongeza ajira nyingi zaidi katika sekta za biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nakadhalika, hakuna biashara ya kukosa soko Tanzania kwa sasa.

Mama ameifungua nchi, tumuombee aendelee zaidi ya hapa alipotufikisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
I conquer with you. Wakati wa jpm siasa ilikuwa ni vita. Yule bwana alikuwa anaogopa akina lisu kama ukoma. Sasa hivi kila kitu kipo mubadhara mama haogopi mtu yeyote mana anajua kupangua hoja zote
 
Ni dhahiri siasa safi za maendeleo zinazofanyika Tanzania, zimechochea na kuimarisha mazingira bora zaidi ya kufanya biasha, na kusababisha hivi sasa, karibu kila eneo mijini na vijijini kuna soko, duka au masoko ya bidhaa mbalimbali yamafunguliwa.

Hizi zote ni ajira zinazotokana na fursa muhimu sana ya mazingira, mahitaji na masoko ya kufanya biashara.

Hii ni ishara njema kwamba nchi imefunguka pakubwa, uwekezaji biashara, viwanda, kilimo na masoko vimeongeza ajira kwa kiasi kubwa sana na uelekeo wa kupiga hatua kubwa zaidi kama nchi kimaendelo ni mzuri sana....

MUHIMU ZAIDI KUZINGATIA KULIPA KODI YA SERIKALI INAYOSTAHILI KWA HIYARI NA KWA WAKATI...

Uelewa na ufahamu wa wanainchi kisiasa unakwenda sambamba na kuinua uchumi wao, kuinua vipato na hali za maisha yao, lakini pia na kuongeza ajira nyingi zaidi katika sekta za biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nakadhalika, hakuna biashara ya kukosa soko Tanzania kwa sasa.

Mama ameifungua nchi, tumuombee aendelee zaidi ya hapa alipotufikisha.

Mungu Ibariki Tanzania.
Biashara ya kuchuuza bila kuzalisha mali.

Hakuna biashara hapo mkuu.
 
Wewe uzi wao wenyewe hauna hoja sasa unataka ujibiwe hoja ipi??
ni busara na kipaji cha kipekee sana kukaa kimya ikiwa huwezi kubaini hoja kwenye jambo wazi na la maana zaidi kama hili 🐒
 
Biashara ya kuchuuza bila kuzalisha mali.

Hakuna biashara hapo mkuu.
nadhani ingekua ni hivyo pekee, hapangekua na maduka mengine kiasi hiki ya biashara mbalimbali pande zote za barabara, mathalani jijini dar es salaam 🐒
 
Back
Top Bottom