Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Wapiga Kura sio mara zote wanakuwa na Uelewa wa Mzizi wa Tatizo lao, hapo ndipo kina Hitler, Trump na wengine wengi wanaweza kutumia fursa ya matatizo hayo ya Wapiga Kura kama Mtaji wa Kisiasa. Leo hii akitokea Opportunist wa Mtaji wa Machinga kuendelea kufanya kazi sehemu hatarishi huenda akapata Kura zao na kuingia Ikulu (Bila hata wizi wa Kura) lakini kwa Machinga kufanya kazi sehemu hatarishi ni kutatua tatizo lao ?
Na sasabu ni Demokrasia na waliopo Madarakani kushindwa kuwatimizia wananchi shida zao (hata kama ni vigumu kuzitatua mapema au atakayekuja na yeye atashindwa kuzitatua) lakini Watu hawa walaghai ni rahisi sana kuingia madarakani kwa nguvu ya Ulaghai wao kwa UMMA…
Tunafanyaje kuepuka hilo ? Je Demokrasi kama ilivyo sasa inaweza ikatukinga na Extremists na Populists? Ukizingatia Voters wengi ni Uninformed….
Je Tunahitaji kuibadilisha Demokrasia yetu na Kupata Demokrasia 2.0 ?
www.jamiiforums.com
Na sasabu ni Demokrasia na waliopo Madarakani kushindwa kuwatimizia wananchi shida zao (hata kama ni vigumu kuzitatua mapema au atakayekuja na yeye atashindwa kuzitatua) lakini Watu hawa walaghai ni rahisi sana kuingia madarakani kwa nguvu ya Ulaghai wao kwa UMMA…
Tunafanyaje kuepuka hilo ? Je Demokrasi kama ilivyo sasa inaweza ikatukinga na Extremists na Populists? Ukizingatia Voters wengi ni Uninformed….
Je Tunahitaji kuibadilisha Demokrasia yetu na Kupata Demokrasia 2.0 ?
Automating Democracy - The Real Power to the People
A Dialogue towards Total Inclusion (A Book by Busara Bin Hekima) Introduction: With all its problems, still most argue that Democracy is somehow the better alternative way of governing, as Winston Churchill is believed to have said…, “No one pretends that democracy is perfect or all-wise...