Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 609
Arusha hali sii shwari kwa huyo Mama Batilda. Kwanza hakusoma alama za nyakati , pili aliye nyuma yake anafahamika..Ni EL . Kwamba ni Mzanzibar,na kwamba alikuwa Waziri wa Mzingira kwa miaka mitano akashindwa kuisadia Arusha hadi ikabaki chafu kuliko miji yote huku kaskazini ndio nyimbo za Waarusha.
Arusha hali sii shwari kwa huyo Mama Batilda. Kwanza hakusoma alama za nyakati , pili aliye nyuma yake anafahamika..Ni EL . Kwamba ni Mzanzibar,na kwamba alikuwa Waziri wa Mzingira kwa miaka mitano akashindwa kuisadia Arusha hadi ikabaki chafu kuliko miji yote huku kaskazini ndio nyimbo za Waarusha.
Jana alikuwa kwenye mahafari ya Trust alionekana kachoka, akawa anajaribu kuingiza siasa anashindwa ikawa kama mtu aliefumaniwa..alishindwa kabisa kuvuta hisia za mamia ya watu waliokuwa majazana mahali hapo...Ninacho kiomba ni vya vya upinza kuweka wasimamizi vitu vyote siku ya uchanguzi maana DK Batilda anaonekana kujipanga kifedha sijui jeuri ya Lowasa...Nilimweka juu sana kwenye chati huyu mama, yaani nilimwona bora kuliko wagombea wengine wote wa CCM, kama ni hivyo basi CCM imetoka! PdD bado hajiamini anamtaka EL na hata kale kamdahalo akakaogopa! Puhhhhhhhhhh
Upinzani wanapaswa watafute saasa mkakati wa pamoja wammalize CCM. Imagine wanaachiana sasa!
Sijui unasema nini? Kwamba Arusha wanampenda Dr. Slaa? Lakini Arusha ni nyumbani kwake.kama wanampenda siyo hoja. Huyu mtu kama anashtakiwa kwamba amemuiba mke wa mtu,hawezi kushinda Uchaguzi,hapaswi kushinda Uchaguzi,kwa sababu that is immoral. This is a confused person,ambaye anafikiria kwamba reputation yake inakuwa enhanced akituhumiwa kuiba mke wa mtu.
Swali langu ni kwmba yule jamaa aliyeibiwa mke alibembelezwa asiende mahakamani? Kwa sababu Bwana Yesu alisema ukibishana na adui yako,try to settle it out of Court. Usikubali mambo kama haya yaende Mahakamani.
CHADEMA mimi nataka kuwapa friendly advice,nguvu zao zielekezwe katika wabunge,na siyo huyu mgombea Urais.
Urais sasa kushindana na Kikwete ni kazi ya Lipumba. Lipumba napaswa kuingia katika hii nafasi iliyoachwa wazi na kuvurunda kwa Dr. Slaa ambaye sasa ana slur kubwa katika utendaji kazi wake.
Na swali kwa Kikwete,kwa nini anataka kuikoa Handeni isichukuliwe na Bahari? Hii inahitaji ufafanuzi. Kwa nini watu wa Handeni wasiambiwe kwenda kujenga mahali pengine? Kwa nini tushindane na Bahari?
EL NINO umesema kweli.
Hakika Chama Cha Majambazi(CCM) uchaguzi wa mwaka huu cha moto wanakiona.
Wamejaribu mbinu zote za kumchafua Dk.Slaa lakini zimegonga mwamba. Wameishiwa kabisa na sera wamebakia kurushia watu maji taka wakidhani kuwa sera za maji taka zitawasaidia. Nawaambia is too late for them to catch CHADEMA's flying chopper. Wao warieee tu!!!!
Inasikitisha kuona Katibu wao Msambaa au tumwite Mshamba wa Bumbuli akihaha kwenye magazeti uchwara na udaku kuwanunua waandishi uchwara eti waandike juu ya Dk. Slaa kuchukua mke wa mtu. Ni uzezeta na upumbavu ambao watu wenye akili timamu hawawezi kudanganyika.
This guy called Mahimbo where was he for the past 3 years when his x-wife vacated his home???????????????Babu Makamba hizo ni mbinu za kizamani sana zilishapitwa na wakti.
Nataka Mahimbo atuambia miaka 3 alikuwa wapiaTunamshangaa kukurupuka siku ile Josephine alipotambulishwa Jangwani kuwa ni fiance wa Dokta Slaa. Nataka atoke huko alipo atuambia ni kitu kimetokea baada ya siku ile pale Jangwani. Bado anatakiwa authibitishie umma wa Watanzania kuwa hajanunuliwa na Makamba ili kujaribu kumchafua Dk. Slaa.
Mimi nawapa CCM na MAHIMBO ushauri wa bure:
Kwa MAHIMBO namwabia yafuatayo: MAHIMBO AENDE HARAKA SANA AKAFUTE HIYO KESI MAHAKAMANI MAANA AKIENDELEA KUKOMAA NAYO KWA KULAGHAIWA KUWA KIBARAKA WA CCM BASI AJUE KUWA ANAWATUKANA WATANZANIA NA ITAKUJA KUMGHARIMU MAISHA YAKE.
Watanzania tu wastaaarabu sana lakini kama mtu akianza kuleta kuingilia maswala binafsi ambayo hayana tija wala faida kwa Watanzania tunamwona kuwa ameishiwa na amefilisika kisiasa. Hapa ndipo walipofikia CCM.
Wakumbuke kwamba hata kama kweli Josephine ni mke wa huyo Mahimbo ambaye bila shaka ana matatizo ya aidha kisaikolojia,kiuchumi au pengine lililo kubwa zaidi ni MAMBO HAYAWEZI KITANDANI basi amwachie Dk Slaa achukue mchuma. Maana inaonesha Dk. Slaa ni lijali na Dume la mbegu ndiyo maana Mahimbo kaachwa solemba kwa vile MAMBO HAYAWEZI!!!!!!!!!!!!!!!!
KWA CCM NA MAKAMBA WAO nasema hivi:
Pale Bndeni kwa mzee anayeheshimika sana Mzee Madiba kuna kamchezo ka aina hii kalifanywa kwa huyu Mzee wa Kizulu anayetamba kwa jina la JACOB ZUMA. Wapinzani wake ndani ya ANC walianza siasa za maji taka kumchafua kwa kuingilia mambo yake ya binafsi. Kila kitu kiliwekwa hadharani. Mzee mzima akasimamishwa mbale ya Pilato akapigwa maswali kuhusu alivyofanya ngono na mwanamke asiye mkewe pasipo hata kutumia kondomu!!!!!!!. Mzee Zuma akasema mbele ya Plato kuwa yeye alikuwa akimaliza shughuli anaosha mashina yake kwa maji. Kumbuka hapa Zuma alikuwa bado hajawa Rais wa Afrika Kusini. CCM Mpo?????!!!!!!!!!!!!!!!!!
Lakini uchaguzi ulipokuja Zuma akapeta na kuwa Rais wa Afrika Kusini mpaka leo hii. Kwa hiyo CCM nataka mjifunze kutoka kwa Jacob Zuma. Na laiti kama mngelisoma alama za nyakati huu ujinga mnaotuonyesha WATANZANIA MSINGEUFANYA.
Makamba watu wana kustahi tu lakini watakapoamua kumwaga mambo yako ya kibinafsi pamoja na huyo Mwenyekiti wako Tanzania patakuwa hapatoshi.Kwanza nasikia hiyo nundu uliyonayo kwenye paji la uso ulipigwa rungu wakti ukinyemela mke wa mtu! Kama ni uongo jitokeze ukanushe. Pambaf!
Wasalaaamu.
Hivi Kikwete ana maadili gani vile. Sijawahi kukusikia ukimlalamikia. Na Lipumba je?iwe Zuma iwe nani mm siwezi kuunga mkono wasio na maadili kama Slaa wawe ciongozi wetu. wanaofuata wanajifunza nn?
waone uzinzi ni jambo linalokubalika ktk jamii yetu ya Tanzania? hapana
huko unakosema wamepitisha sheria ya ushoga na ndoa za jinsia moja, jee na ss tuige ?
hapana hili ni Taifa huru na kwa ukweli lazima wanatuongoza wawe CCM au CHADEMA lazima wawe safi
na hapa ndio kama kweli mnampenda mwalimu na sio kujidai kumpenda na kuacha mafundisho yake, alisisitiza sana miiko ya uongozi
ikiwemo maadili, Mshenzi huyu anaiba mke wa mtu anazini na kuzaa bila ya ndoa ilihali akijua kuwa Kanisa linahimiza watu waowane tumpe urais kirahisi hapana
mm ningewaona CHADEMA chama mbadala kwa kusimamia maadili ya muafrika na mtanzania kwa vitendo na sio kufuata ushabiki
chadema si chama makini hata ukuangalia historia ya mwenyekiti wake mzee wa WAPUKI
Hivi Kikwete ana maadili gani vile. Sijawahi kukusikia ukimlalamikia. Na Lipumba je?
kama yao yapo na yaletwe tuyazungumze.
ya huyu mwenyewe nakiri kuwa Josphine ni mchumba wake na kuna mtu anasema ni mkewe na Josphine anakiri kuwa ni mumewe ila alimkimbia miaka mitatu mume anasema ni miezi sita
sasa kama una ya Lipumba na JK yalete
ss hatushupalii viongozi wasio na maadili kama huyu mzinzi
Tunataka mabadiliko ya uongozi, kiongozi shupavu mwenye maamuzi na kujua anachokifanya. Kama ni kuchagua walii ambaye hajawahi kuzini (sijui utamtambuaje) hiyo sio kazi ya wapigakura wa Watz. We are done with JK + CCM, hawana jipya na kukubali kuendelea nao ni kuzidi kujikita ktk tope la umaskini.
Mkuu tafadhali, tutake radhi!! sisi HATUDNGANYIKI, wamemfukuza meneja wakiwanda cha mtibwa wakifikiri kwa hilo watatudanganya, hiyo janja ya nyani kwishastukiwa. Tuanajua mwenye kiwanda anayenyonya jasho la watu maskini ni Fisadi Mkapa, ambaye huyu prezidaa alisema tumwache apumzike yani ukiwa mwizi na mhujumu uchumi badala ya kwenda keko, unaacha upumzike.
Hivi Makamba ana elimu gan jamani? Yan strategies zake ni kichekesho kweli. Mi naona kama anamwongezea umaarufu Dr Slaa. Kwa vile sasa hivi magazeti yao yote habari kubwa ni `Dr Slaa na Josephine`. Hata wanavijiji sasa wanamjua Dr Slaa na wana shauku ya kutaka kujua anasema nini.
Tunajichafua wenyewe kama akina Wayne Rooney, Tiger Woods, John Terry, Bill Clinton,...., halafu tukionyeshwa uchafu huo tunang'aka, tunarusha lawama kungine! Sikumtarajia shujaa wangu Dr Slaa anase kwa akina mama kwa kiwango hiki.