Siasa za mashtaka na kisa cha muuza pikipiki

Siasa za mashtaka na kisa cha muuza pikipiki

mumburya

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2012
Posts
321
Reaction score
448
Jamani mwenzenu nusuru yanipate hapa Bongo. Nilikutana na dalali aliyekuwa ananiunganishia na muuza pikipiki maeneo ya Mikocheni. Alidai kuwa pikipiki atakayoniuzia ni mpya, nzuri na haijatumika sana, na bei yake ni sawa na bure na ina vibali vyote.

Nilikuwa na uhitaji nayo kwa kweli, hivyo nikakubali nikaione tufanye biashara. Tukaondoka hadi maeneo ya Kisutu alikodai kuwa ipo.

Tulipofika na kuingia getini kule uani akanionyesha bajaji na kuniambia nilichokuwa nauza ni hii bajaji kiongozi. Nilishangaa kwa kweli.

Ndugu zangu huyu si tapeli? Je, nitaendelea kumuamini? Mtu mmoja nilipomsimulia akaniambia ukiendelea kumwamini mtu wa ina hiyo wewe utaonekana kichaa.

Iko hivi:
Mlipomkamata mliitangazia dunia kuwa ana tuhuma za kuua viongozi wa serikali. Mnafika Kisutu mnasema hapana, sio kuua viongozi bali kulipua sheli ya Mhindi na bado hamna aibu na kuna watu wanawaamini.
 
Jamani mwenzenu nusuru yanipate hapa Bongo. Nilikutana na dalali aliyekuwa ananiunganishia na muuza pikipiki maeneo ya Mikocheni. Alidai kuwa pikipiki atakayoniuzia ni mpya, nzuri na haijatumika sana, na bei yake ni sawa na bure na ina vibali vyote.

Nilikuwa na uhitaji nayo kwa kweli, hivyo nikakubali nikaione tufanye biashara. Tukaondoka hadi maeneo ya Kisutu alikodai kuwa ipo.

Tulipofika na kuingia getini kule uani akanionyesha bajaji na kuniambia nilichokuwa nauza ni hii bajaji kiongozi. Nilishangaa kwa kweli.

Ndugu zangu huyu si tapeli? Je, nitaendelea kumuamini? Mtu mmoja nilipomsimulia akaniambia ukiendelea kumwamini mtu wa ina hiyo wewe utaonekana kichaa.

Iko hivi:
Mlipomkamata mliitangazia dunia kuwa ana tuhuma za kuua viongozi wa serikali. Mnafika Kisutu mnasema hapana, sio kuua viongozi bali kulipua sheli ya Mhindi na bado hamna aibu na kuna watu wanawaamini.
Iko hivi:
Mlipomkamata mliitangazia dunia kuwa ana tuhuma za kuua viongozi wa serikali. Mnafika Kisutu mnasema hapana, sio kuua viongozi bali kulipua sheli ya Mhindi na bado hamna aibu na kuna watu wanawaamini.[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Jamani mwenzenu nusuru yanipate hapa Bongo. Nilikutana na dalali aliyekuwa ananiunganishia na muuza pikipiki maeneo ya Mikocheni. Alidai kuwa pikipiki atakayoniuzia ni mpya, nzuri na haijatumika sana, na bei yake ni sawa na bure na ina vibali vyote.

Nilikuwa na uhitaji nayo kwa kweli, hivyo nikakubali nikaione tufanye biashara. Tukaondoka hadi maeneo ya Kisutu alikodai kuwa ipo.

Tulipofika na kuingia getini kule uani akanionyesha bajaji na kuniambia nilichokuwa nauza ni hii bajaji kiongozi. Nilishangaa kwa kweli.

Ndugu zangu huyu si tapeli? Je, nitaendelea kumuamini? Mtu mmoja nilipomsimulia akaniambia ukiendelea kumwamini mtu wa ina hiyo wewe utaonekana kichaa.

Iko hivi:
Mlipomkamata mliitangazia dunia kuwa ana tuhuma za kuua viongozi wa serikali. Mnafika Kisutu mnasema hapana, sio kuua viongozi bali kulipua sheli ya Mhindi na bado hamna aibu na kuna watu wanawaamini.
Kwanza walisema anasababisha mikusanyiko kuna korona. Siku ya tatu baadae Watu wakafurika uwanja wa Tanganyika Kigoma kwenye mechi ya simba na yanga.

Haya mambo yamesababisha Mungu ashindwe uvumilivu akaamua kumchukua Jpm.

Kuna mambo mengine ingawa Mungu ni mwenye Rehema inafika mahali anafanya maamuzi magumu
 
Jamani mwenzenu nusuru yanipate hapa Bongo. Nilikutana na dalali aliyekuwa ananiunganishia na muuza pikipiki maeneo ya Mikocheni. Alidai kuwa pikipiki atakayoniuzia ni mpya, nzuri na haijatumika sana, na bei yake ni sawa na bure na ina vibali vyote.

Nilikuwa na uhitaji nayo kwa kweli, hivyo nikakubali nikaione tufanye biashara. Tukaondoka hadi maeneo ya Kisutu alikodai kuwa ipo.

Tulipofika na kuingia getini kule uani akanionyesha bajaji na kuniambia nilichokuwa nauza ni hii bajaji kiongozi. Nilishangaa kwa kweli.

Ndugu zangu huyu si tapeli? Je, nitaendelea kumuamini? Mtu mmoja nilipomsimulia akaniambia ukiendelea kumwamini mtu wa ina hiyo wewe utaonekana kichaa.

Iko hivi:
Mlipomkamata mliitangazia dunia kuwa ana tuhuma za kuua viongozi wa serikali. Mnafika Kisutu mnasema hapana, sio kuua viongozi bali kulipua sheli ya Mhindi na bado hamna aibu na kuna watu wanawaamini.
Pole sana kwa kutangaziwa Pikipiki ukauziwa Bajaji. Lakini zote ni piko piki moja ya maringi mawili nyingine matatu
 
Intelejensia ya jeshi la polisi ipo "inversely proportional" na jinsi uhalisia wa mambo ilivyokuwa, kwa kuwa limejikita zaidi kwa kufanya "negation" kwa masuala yanayohusu vyama vya upinzani na kufumbia ukweli juu ya udhalimu unaofanywa na viongozi wa CCM.
 
Back
Top Bottom