Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

Status
Not open for further replies.

mirinda tamu

Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
76
Reaction score
27
Wana Jamiii

Nipo hapa Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda.....siamini ninachokiona machoni mwangu....kuanzia jana tarehe 1/09/2013 serekali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara ( ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo ( Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari.

Kwa taarifa ambazo sio rasmi kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka hapa mpakani, na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo zina plate numbers za Tanzania.

Wanajamii hii ina madhara gani kwa uchumi wa Tanzania kwani akili ya harakaharaka hii ni some sort of Protectionism ila kwa mbali inaweza ikawa ni muendelezo wa chokochoko.

Ni baada ya kupandishiwa kodi ghafla ya kuingia nchini humo kutola dola 152. Mpk dola 500 hayo yalisemwa na mwenyekiti wa wamiliki wa malori tz na kuiomba serilali iingilie kati.

Source: East Africa Radio



UPDATES - 03.09.2013

Bado nipo hapa Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda, kwa habari ambazo ni rasmi Serekali ya Rwanda imefuta ongezeko la ushuru wa barabara ( Road Toll) la USD 500 kwa kila gari lenye usajili wa Tanzania na kuanzia leo kila gari litavuka kwa ushuru wa zamani wa USD 152. Uamuzi huu umefikiwa baada ya Mamlaka Ya Mapato Tanzania (TRA) kulazimika kupunguza ushuru wa barabara ( Road Toll) kwa magari yenye plate numbers za Rwanda kutoka USD 500 mpaka USD 150. Hatua hii inaoenakana ni ushindi mkubwa kwa Rwanda ikizingatiwa kuwa umbali kutoka Dar mpaka Rusumo sio sawa na umbali kutoka Rusumo mpaka Kigali....kwahiyo ushuru wa barabara hauwezi kuwa sawa kwa simple basics za economics.....
 
Watakaoumia ni wanyarwanda wenyewe,kwani ninachojua hakuna mfanyabiashara anayepata hasara hata siku moja! hivyo kama bidhaa kama zinapelekwa Rwanda bei ya bidhaa zitapanda tu!

NAKUBALIANA NA WEWE MKUU. NASIKIA PIA WAFANYABIASHARA WAPO TAYARI KULIPA HIYO DOLA 500 WATUMIE BANDARI YA dAR kuliko kutumia bandari ya Mombasa
 
Ifike mahali hii cold war iishe. Tena tuache kabisa kushabikia haya mambo. Haipendezi kuwa na jirani ambaye hamsalimiani hata kama wewe ni tajiri na una kila kitu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mr Slim hajitambui hivi hajui kuwa atawaumiza wananchi wake mwenyewe...!!!??au ndo analazimisha wafanyabiashara watumie bandari ya Mombasa...???/atajijua na utahaira wake ......may be damu za watu wasio na hatia zinavuruga mfumo wake wa kufikiri
 
Watakaoumia ni wanyarwanda wenyewe,kwani ninachojua hakuna mfanyabiashara anayepata hasara hata siku moja! hivyo kama bidhaa kama zinapelekwa Rwanda bei ya bidhaa zitapanda tu!

Umenena vyema! Watakaoumia na Wanyarwanda!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wana Jamiii

Nipo hapa Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda.....siamini ninachokiona machoni mwangu....kuanzia jana tarehe 1/09/2013 serekali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara ( ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo ( Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari.

Kwa taarifa ambazo sio rasmi kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka hapa mpakani, na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo zina plate numbers za Tanzania.

Wanajamii hii ina madhara gani kwa uchumi wa Tanzania kwani akili ya harakaharaka hii ni some sort of Protectionism ila kwa mbali inaweza ikawa ni muendelezo wa chokochoko.

Mkuu usiwe na shaka, hizo ni hasira za mkizi tuu. PK anawatwisha mzigo wananchi wake, huo ni uamzi wa kisiasa zaidi sio technical. Nimesikiliza Times FM, Kwamba magari ya nchi zingine ushuru haujapanda ila ya TZ umepanda 3 times.

Rule of the game lazima itaaply tuu na hapo ndoo PK atakubali.(kama wewe ni mfanya biashara hope unaelewa ninaposema RULE OF THE GAME). Hilo ongezeko effect zake ataziona mda si mrefu sana.


cc ZeMarcopolo
 
Last edited by a moderator:
Watakaoumia ni wanyarwanda wenyewe,kwani ninachojua hakuna mfanyabiashara anayepata hasara hata siku moja! hivyo kama bidhaa kama zinapelekwa Rwanda bei ya bidhaa zitapanda tu!

Tumia akili, hapo maana yake ni kuwalazimisha wafanyabiashara wa Rwanda wapite Mombasa.
 
sasa hapo wewe unaona kamaomoa nani?,mizigo inatoka Dar Port kwenda Rwanda,charges zilizoongezeka zinaongeza bei ya bidhaa husika,saa nanai mlaji wa hizo bidhaa?
Wana Jamiii

Nipo hapa Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda.....siamini ninachokiona machoni mwangu....kuanzia jana tarehe 1/09/2013 serekali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara ( ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo ( Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari.

Kwa taarifa ambazo sio rasmi kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka hapa mpakani, na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo zina plate numbers za Tanzania.

Wanajamii hii ina madhara gani kwa uchumi wa Tanzania kwani akili ya harakaharaka hii ni some sort of Protectionism ila kwa mbali inaweza ikawa ni muendelezo wa chokochoko.
 
Hiyo ni sawa na kumkata panga nzi aliye kwenye kidole chako mwenyewe.

Basically anayehitaji huduma ni mnyarwanda aliyekodisha gari la mizigo la Tanzania, kwahiyo gharama ikiwa kubwa mbeba mzigo ataongeza bei ya usafirishaji ili asipate hasara. Akiona hailipi, anauacha mzigo wa mnyarwanda bandarini uoze.

Gari la mtanzania lisipobeba mzigo wa mnyarwanda linaweza kubeba mzigo wa myambia, mganda, mkenya, nchumbiji, mmalawi and beyond - nothing to loose...
 
Rwanda ugomvi na Tanzania utawaumiza wao zaidi, wawaulize wakenya, pamoja na uchumi wao mkubwa
 
Ni kutapa tapa tu kwa Kimbaombao yule,

Ukipandisha ushuru wa magari unamuumiza nani kama si wananchi wako mwenyewe??

Ukiwa unatawala nchi ambayo ni locked land kama Rwanda inabidi uwe na hekima sana, Siku akikinukisha na KENYETTA huko nako atapandisha ushuru??
 
kikwete alivyokua anaongea dharau mlichekelea.
mnazani vita ni kushikiana mtutu pekee???

Afadhali wambie Kamanda, unajua Watanzania ni kama tumelogwa. Tunashabikia mambo bila kufikiria, watakao umia ni haohao wanaomiliki biashara za malori. Na hii maana ya haraka haraka ni kuanza ku discourage mizigokushushiwa Dar sasa watalazimika kwenda Bandari ya Mombasa.

Mambo mengine adghabu zake ni hapa hapa tu hakuna kungojea,

TAFAKARI
 
sometimes this is the best way to teach somebody a leson,remember,there are people whose hard way is their best class!
Ifike mahali hii cold war iishe. Tena tuache kabisa kushabikia haya mambo. Haipendezi kuwa na jirani ambaye hamsalimiani hata kama wewe ni tajiri na una kila kitu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ifike mahali hii cold war iishe. Tena tuache kabisa kushabikia haya mambo. Haipendezi kuwa na jirani ambaye hamsalimiani hata kama wewe ni tajiri na una kila kitu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Cold war ipi?
What have we done?? ... kawasalimie kama unamind.
 
Wana Jamiii

Nipo hapa Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda.....siamini ninachokiona machoni mwangu....kuanzia jana tarehe 1/09/2013 serekali ya Rwanda imeongeza ushuru wa barabara ( ROAD TOLL) kwa magari yote ya Mizigo ( Fuel and Dry Cargo) yenye plate numbers za Tanzania kutoka USD 152 mpaka USD 500 kwa kila gari.

Kwa taarifa ambazo sio rasmi kwa siku magari ya mizigo takribani 300 yanavuka hapa mpakani, na zaidi ya asilimia 95% ya magari hayo zina plate numbers za Tanzania.

Wanajamii hii ina madhara gani kwa uchumi wa Tanzania kwani akili ya harakaharaka hii ni some sort of Protectionism ila kwa mbali inaweza ikawa ni muendelezo wa chokochoko.

Taarifa yako haijakamilika. Haujasema kuwa magari ya rwanda yanayoingia tanzania yamekuwa yakitozwa hiyo dola 500 for many years. Wamejaribu ku plead serikali yenu ipunguze ili hiyo gharama iendane na za nchi nyingine wanachama wa East Africa. Tanzania walikuwa wanajishebedua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom