It takes two to tango, kama unadhani CCM haihusiki, subiri joto la jiwe. Unakumbuka after vita vya Mtukula, tulivaa matairi ya gari, mbunju na maduka ya kaya.
Mkuu usiwe na shaka, hizo ni hasira za mkizi tuu. PK anawatwisha mzigo wananchi wake, huo ni uamzi wa kisiasa zaidi sio technical. Nimesikiliza Times FM, Kwamba magari ya nchi zingine ushuru haujapanda ila ya TZ umepanda 3 times.
Rule of the game lazima itaaply tuu na hapo ndoo PK atakubali.(kama wewe ni mfanya biashara hope unaelewa ninaposema RULE OF THE GAME). Hilo ongezeko effect zake ataziona mda si mrefu sana.
cc ZeMarcopolo
Hapa serikali irudishe compliments tu na magari yatakayo toka Rwanda yapate same treatment for now at least we should gain whilst they are still reinforcing their strategy of diverting their cargo to Mombasa.
Bilashaka uko sahihi kinadharia kivitendo hapana.
Nitakupa mifano
Iraq imetulia?
Somalia imetulia?
Afghanstan imetulia?
Hebu tuambiane ukweli hawa UN hufanya mambo yao kwa malengo na kwa muda maalumu na kwa maana hiyo futa ndoto ya DRC kutulizwa kwa mkakati wa UN.
DRC itatulizwa na kutulia tu pale itakapopata kiongozi makini amabaye atajaaliwa na mungu kuwaunganisha wakongomani kwa ujumla wake basi.
Ifike mahali hii cold war iishe. Tena tuache kabisa kushabikia haya mambo. Haipendezi kuwa na jirani ambaye hamsalimiani hata kama wewe ni tajiri na una kila kitu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu, anapoamua kupandisha gharama za road toll kwa magari ya tanzania kuelekea rwanda nadhani amejaribu kucheza smart. as one of the post here imesema wafanya biashara sio watu wanaopenda kupata hasara.
- hauoni kwamba anapunguza nafasi ya wafanyabiashara wa rwanda kutumia any possible means ya usafiri kutoka tz kuingia kwao?
- kwa uamuzi huo inamaanisha kwamba.. ili waweze kutengeneza faida za kutosha lazima waweze kupunguza gharama za uendeshaji, ikiwemo kutumia njia zingine za usafirishaji wa ardhini ikiwemo kutoa mizigo yao kutoka kenya??
- na pia kuhusu hao wafanya biashara watakao tumia ku_import kupitia bandari ya dar, hauoni watakuwa wanajiondoa wenyewe kwenye soko maana hawataweza kushindana na wenzao wanaoingiza bidhaa zao kutokea kenya ama inchi nyingine.. as kwenye soko kutakuwa na tofauti ya bei kwa bidhaa ambazo zitaweza kuwa katika ubora sawa??
ndio maana tumeingia goma na sie tukachote madini wakati yeye tall na m23 wake tumewatimua rwanda...pia hata dar haina nyumba ya nyasi..rwanda ni ndogo kuliko dar na mkoa wa pwani....majibu umeyapata. Eneo la tanzania ni ni zaidi ya mara 25 ya eneo la hiyo wilaya yako ya rwanda...think big
jwtz is a game changer in goma and rwanda economy in general..ahahaaaaaaaa..pole tutsi and r.i.p tall
kama ulishawahi kucheza draft..sie tuna king mbili rwanda and kete nne...waulize wataalamu watakuambia...game limekwisha. Nyodo zooote zitakwisha tukiikamata goma na kuingia kigali....
Hapo bado hatujaonyesha ni kikundi gani cha waasi tukipe support kimwanzishie mbungi ajiulize atapigana na waasi au atasupport m23 au ataendelea kuichokonoa tanzania au tumwongezee wakimbizi aangaike wapi pa kuwalaza na nini cha kuwalisha..coz tunao hapa kwetu kama laki 8-1m.
Balali acha woga..tutamchapa nje ndani na bado hata kitandani tunamgalagaza mbayaaaaa.
Mkuu usiwe na shaka, hizo ni hasira za mkizi tuu. PK anawatwisha mzigo wananchi wake, huo ni uamzi wa kisiasa zaidi sio technical. Nimesikiliza Times FM, Kwamba magari ya nchi zingine ushuru haujapanda ila ya TZ umepanda 3 times. Hii ni kwa bidhaa za tz tu,ukiacha matumiz ya bandari ya Dar.
Rule of the game lazima itaaply tuu na hapo ndoo PK atakubali.(kama wewe ni mfanya biashara hope unaelewa ninaposema RULE OF THE GAME). Hilo ongezeko effect zake ataziona mda si mrefu sana.
cc ZeMarcopolo
sipati picha ingekuwaje kama kagame angekuwa rais wa taifa kubwa kama tz.
Na sielewi kwa nini Tanzania tunamdekeza kiasi cha kuomba suluhu nae.inachefua sana.