Siasa zimeharibu elimu na maendeleo katika mkoa wa Mbeya

Lubhalisi

Senior Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
118
Reaction score
57
Wadau nimesikitishwa sana na matokeo mabaya ya shule za Msingi Mkoani Mbeya! siasa zimeharibu kila kitu Elimu imeshuka sana na inasikitisha, wenzetu wanasonga mbele sisi tunazidi kupotea kabisa! Jamani wana Mbeya tufanye nini?

Hebu tujadili hatua za kuchukua mapema kabisa,haiwezekani Mkoa hauna hata shule moja ktk kumi bora aibuuuuuuu! ama kweli Mbeya ilikuwa zamani nimeamini sasa.
 
''jamani acheni kushobokea vyama vya siasa kwani hapa TZ viko vingi kuliko hata wagombea,chagueni watu sahihi kwa maendeleo ya jamii yenu'' mimi nimesema
 
Ili tujadili kwa mapana zaidi hebu dadavua kidogo kwa upande wako ni kwa mamna hani siasa zinajaribu Elimu na Maendeleo?? Nadhani tukianzia hapo tutakuwa tumepata pa kuanzia Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…