Mfukutuzi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 239
- 175
Nimesikitika sana nilipokuwa katika kupitia matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka huu hasa pale nilipoangalia orodha ya Shule 100 bora na kubaini kuwa ni shule 6 tu za Serikali ndizo ziko kwenye orodha hiyo, inasikitisha sana.
Shule zilizoonekana ni Ilboru ambayo ni ya 35, Mzumbe ya 56, Msalato ya 71, Kibaha ya 87, Tabora boys ya 93, pamoja na Kilakala ambayo imeshika nafasi ya 96 na zilizobaki zote ni Shule binafsi.
Mimi nauliza tu, hii ina maana gani au ndo matokeo ya BIG RESULT NOW?
Haya mimi nasema ni matokeo ya kuingiza siasa kwenye Elimu na kujikuta tukitumia muda mwingi kuongeza kiwango cha ufaulu badala ya kuongeza kiwango cha Elimu.
Shule zilizoonekana ni Ilboru ambayo ni ya 35, Mzumbe ya 56, Msalato ya 71, Kibaha ya 87, Tabora boys ya 93, pamoja na Kilakala ambayo imeshika nafasi ya 96 na zilizobaki zote ni Shule binafsi.
Mimi nauliza tu, hii ina maana gani au ndo matokeo ya BIG RESULT NOW?
Haya mimi nasema ni matokeo ya kuingiza siasa kwenye Elimu na kujikuta tukitumia muda mwingi kuongeza kiwango cha ufaulu badala ya kuongeza kiwango cha Elimu.