Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
Wapendwa wanajamii!
Mishoni mwa wiki iliyopita nikiwa mbele ya televisheni,nilivutiwa kuangalia mahubiri ya kipindi kimojawapo cha dini ya kikriso katika moja ya televisheni maarufu yenye makao yake makuu jijini mwanza.
Mahubiri aliyokuwa akiyatoa mchungaji huyu maarufu,ambaye pia ni askofu mkuu katika kanisa hilo husika lenye makao makuu maeneo ya rufungira barabara ya sam nujoma YALINITISHA KWELI KWELI.
Sikuona umaana wa yeye KUWAPONDA HADHARANI wachungaji wenzie wanao 'display' akaunti za mabenki mbalimbali kwa ajili ya kuomba mchango wa uendeshaji wa vipindi KWA SABABU TU YEYE HAFANYI HIVYO.Inawezekana mchungaji huyu ana uwezo mkubwa sana kifedha kiasi cha kuzilipia hizo gharama,au pengine ANA WAFADHILI...!lakini pamoja na hayo yoote hakukuwa na maana ya KUWAPONDA WENZIE HADHARANI NA KATIKATI YA MAHUBIRI
Sikuona umaana wa mchungaji huyu 'nguli' KUWAPONDA HADHARANI mama zetu wanaokwenda salon kuzitengenezanywele zao kwa kigezo eti WANAMSAHIHISHA MUNGU.Inawezekana wanakosea,lakini kibinaadamu jamani HAIPENDEZI.Kwa imani yangu ndogo sana mi naamini mbinguni hatuendi kwa kujionyesha ni mafukara sana,NI WALE WENYE MOYO SAFI WOTE.
Sikuona umaaaaana wa mchungaji huyu mkongwe kabisa kwenye maswala ya dini kutumia muda wake mwingi KUMSAGA KWELI KWELI mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili aliyepata tuzo za kili-musics awards,kwamba hizo tuzo ni feki na kwanini anajiita MALKIA WA INJILI.inawezekana huyu mwimbaji ni mkosaji sana KWA MACHO YA KIBINADAMU,lakini jamii imemkubali,na kwa upeo wangu mdogo naona kama amekuwa chachu kubwa kabisa katika kuitengeneza ONESELF AWARENESS katika imani za watu wengi
MTIZAMO WANGU SASA:Ninachokiona hapa wachungaji wa namna hii wanawapotezea waumini wao mwelekeo.Wamesahau kwamba uchungaji SIO MAJUNGU,NI KUMUHUBIRI KRISTO.Wanapandikiza majungu na chuki kwa waamini wao.
Mchungaji huyu ameleta haduthi ya MWAMBA NGOMA....................!anajaribu kuwateka kondoo wake wasitafute malisho sehemu yoyote,au pengine kuwakaribisha kondoo wengine.NAONA KAMA ANALETA POLITICS KWENYE IMANI JAMANI!
tunaenda wapi?
Mishoni mwa wiki iliyopita nikiwa mbele ya televisheni,nilivutiwa kuangalia mahubiri ya kipindi kimojawapo cha dini ya kikriso katika moja ya televisheni maarufu yenye makao yake makuu jijini mwanza.
Mahubiri aliyokuwa akiyatoa mchungaji huyu maarufu,ambaye pia ni askofu mkuu katika kanisa hilo husika lenye makao makuu maeneo ya rufungira barabara ya sam nujoma YALINITISHA KWELI KWELI.
Sikuona umaana wa yeye KUWAPONDA HADHARANI wachungaji wenzie wanao 'display' akaunti za mabenki mbalimbali kwa ajili ya kuomba mchango wa uendeshaji wa vipindi KWA SABABU TU YEYE HAFANYI HIVYO.Inawezekana mchungaji huyu ana uwezo mkubwa sana kifedha kiasi cha kuzilipia hizo gharama,au pengine ANA WAFADHILI...!lakini pamoja na hayo yoote hakukuwa na maana ya KUWAPONDA WENZIE HADHARANI NA KATIKATI YA MAHUBIRI
Sikuona umaana wa mchungaji huyu 'nguli' KUWAPONDA HADHARANI mama zetu wanaokwenda salon kuzitengenezanywele zao kwa kigezo eti WANAMSAHIHISHA MUNGU.Inawezekana wanakosea,lakini kibinaadamu jamani HAIPENDEZI.Kwa imani yangu ndogo sana mi naamini mbinguni hatuendi kwa kujionyesha ni mafukara sana,NI WALE WENYE MOYO SAFI WOTE.
Sikuona umaaaaana wa mchungaji huyu mkongwe kabisa kwenye maswala ya dini kutumia muda wake mwingi KUMSAGA KWELI KWELI mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili aliyepata tuzo za kili-musics awards,kwamba hizo tuzo ni feki na kwanini anajiita MALKIA WA INJILI.inawezekana huyu mwimbaji ni mkosaji sana KWA MACHO YA KIBINADAMU,lakini jamii imemkubali,na kwa upeo wangu mdogo naona kama amekuwa chachu kubwa kabisa katika kuitengeneza ONESELF AWARENESS katika imani za watu wengi
MTIZAMO WANGU SASA:Ninachokiona hapa wachungaji wa namna hii wanawapotezea waumini wao mwelekeo.Wamesahau kwamba uchungaji SIO MAJUNGU,NI KUMUHUBIRI KRISTO.Wanapandikiza majungu na chuki kwa waamini wao.
Mchungaji huyu ameleta haduthi ya MWAMBA NGOMA....................!anajaribu kuwateka kondoo wake wasitafute malisho sehemu yoyote,au pengine kuwakaribisha kondoo wengine.NAONA KAMA ANALETA POLITICS KWENYE IMANI JAMANI!
tunaenda wapi?