Siasa zinaiponza Mbeya City

Siasa zinaiponza Mbeya City

FLASH HIDER

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
397
Reaction score
508
Kushuka kwa kasi kwa kiwango cha uchezaji wa Mbeya City kumeshtua wengi.

Lakini timu hii hii ilipokuwa chini ya Manispaa ya Mbeya mwaka jana ilifanya vizuri sana. Ikajichanganya na kuingia kwenye siasa za vyama matokeo yake ndiyo haya.

Mhe Sugu livyoingia kwenye Timu hiyo ndo kaharibu kabisa.Wote tumeshuhudia jinsi Mhe Mbowe na Sugu walivyo ingia kiwanjani Mbeya kwa mbwembwe na kugeuza kabisa kuwa mpira ni siasa.

Wana Mbeya tusipoliona hili timu itashuka daraja.
 
Acha kihere here wewe! Kuna connection gani ya sugu kwenda kuangalia mechi za mbeya city na kushuka kwa kiwango? Wa-Tz kama wewe ndo wanaorudisha nyumba maendeleo nchini sababu kila kitu unahusisha na siasa.
 
Mumwambie Sugu aache kuitumia timu kama mtaji wa kisiasa. Itatelemke. Mimi nipo hapa. Kule Iringa nako Lipuli ilikuwa inafanya vizuri lakini alipoingia Msigwa tu timu imeshindwa kupanda.
 
Kwa hiyo hao watu hawaruhusiwi kuingia uwanjani na kuangalia mpira? Kwa hiyo hao viongozi wamekuwepo kwenye game zote ambazo mbeya city wamefungwa?
 
Mechi zilizopita kabla ya Yanga, Mbeya City ilikua inatoa dozi hukuonekana.. Juzi kufungwa na Yanga ndo imekua nongwa..
I Smell Something On You.
 
SUGU anasaidia toka mwaka na timu ilikuwa inafanya vizuri.

Sema maccm inawauma SUGU kusaidia timu kwa kuwa inamuongezea cv kwa wana mbeya ndio maana mmeanza kuihujumu na soka la Tanzania haliendelei kwa sababu hiyo viongozi wengi wa soka ni Viongozi wa ccm pia matatizo ya Tanzania ni sawa na yanayotokea kwenye soka

Acheni Kuihujumu Mbeya city kwa sababu ya SUGU haitawasaidia hata kidogo aibu sana kwa MACCM
 
Kwani nani aliyetangualia kati ya Mbeya City kupanda daraja na Mr Sugu kuwa mbunge
 
Kwa majibu haya nina uhakika mwaka huu ni wa mwisho sisi watu wa Mbeya kuona ligi kuu kwa mgongo wa Mbeya City kwani itashuka tu daraja.
 
mcc haijawahi kusaidiwa na mh sugu msipotoshane humu jf.

alafu mcc haijashuka kiwango kama ulivyoandika isipokuwa ilifungwa kama timu zingine. kingine ww siyo mshabiki wa mcc unadanganya.

mm ni mshabiki wa mcc kutoka uyole sisi ndo wenye timu sema ww ni simba na yanga victims. Tena uache unoko ww bila shaka utakuwa wa kule tukuyu maana nyie ni washamba hamna timu toka timu yenu ya tukuyu stars kushushwa na moro untd sasa mnadandia kwa mcc.

pandisheni tkt stars ipo daraja la tatu.

Kama mnataka kushabikia mcc muwe waukweli hatutaki unafiki nyie jamaa mna ukabila sana ndio maana mliiua tky stars sasa mmeharibu na na tz prison
 
ww ni mjinga kati ya wajinga. mcc haijawahi kusaidiwa na mh sugu msipotoshane humu jf. alafu mcc haijashuka kiwango kama ulivyoandika isipokuwa ilifungwa kama timu zingine. kingine ww siyo mshabiki wa mcc unadanganya. mm ni mshabiki wa mcc kutoka uyole sisi ndo wenye timu sema ww ni simba na yanga victims. Tena uache unoko ww bila shaka utakuwa wa kule tukuyu maana nyie ni washamba hamna timu toka timu yenu ya tukuyu stars kushushwa na moro untd sasa mnadandia kwa mcc. pandisheni tkt stars ipo daraja la tatu. Kama mnataka kushabikia mcc muwe waukweli hatutaki unafiki nyie jamaa mna ukabila sana ndio maana mliiua tky stars sasa mmeharibu na na tz prison

Usitoke na povu kaka. Kama kweli tunataka MCC iendelee kuwemo katika ligi kuu basi tutenganishe kati ya mpira na siasa.
 
SUGU anasaidia toka mwaka na timu ilikuwa inafanya vizuri. Sema maccm inawauma SUGU kusaidia timu kwa kuwa inamuongezea cv kwa wana mbeya ndio maana mmeanza kuihujumu na soka la Tanzania haliendelei kwa sababu hiyo viongozi wengi wa soka ni Viongozi wa ccm pia matatizo ya Tanzania ni sawa na yanayotokea kwenye soka acheni Kuihujumu Mbeya city kwa sababu ya SUGU haitawasaidia hata kidogo aibu sana kwa MACCM

acha uongo sugu karukia timu ilipopanda daraja na walitahadharishwa kuhusu chadema kuingilia hiyo timu sasa hayo ndio matunda ya ujinga
 
wee baba kwan mbowe na sugu waliwashika miguu wachezaji......be reasonable when judging things....na simba aliingia nani uwanjan.
 
Kushuka kwa kasi kwa kiwango cha uchezaji wa Mbeya City kumeshtua wengi.

Lakini timu hii hii ilipokuwa chini ya Manispaa ya Mbeya mwaka jana ilifanya vizuri sana. Ikajichanganya na kuingia kwenye siasa za vyama matokeo yake ndiyo haya.

Mhe Sugu livyoingia kwenye Timu hiyo ndo kaharibu kabisa.Wote tumeshuhudia jinsi Mhe Mbowe na Sugu walivyo ingia kiwanjani Mbeya kwa mbwembwe na kugeuza kabisa kuwa mpira ni siasa.

Wana Mbeya tusipoliona hili timu itashuka daraja.

acha utoto wewe....
 
wee baba kwan mbowe na sugu waliwashika miguu wachezaji......be reasonable when judging things....na simba aliingia nani uwanjan.

Unachobisha hukielewi. Kama ni mwana soka kweli usinetoa sababu hizo.
 
Mpira una wenyewe nyie endeleeni na kazi yenu ya kuchunana ngozi mpira umewashinda
 
Back
Top Bottom