Sick leave - msaada jamani mwenzenu

Sick leave - msaada jamani mwenzenu

whitehorse

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2009
Posts
2,565
Reaction score
4,432
Mimi nimeajiriwa katika kampuni ya wahindi. Nina ajira nao ya kudumu (permanent) huu ni mwaka wa 3 sasa. Juzi niliumwa sana nikaenda hospitalini. Baada ya vipimo dr anasema nahitaji vipimo zaidi na kuna dawa za matibsbu natakiwa kutumia. Pili anasema kwa muda wa siku 12 zijazo natakiwa kupumzika na kufanya vipomo kwa kila siku ya 3 hadi ifike Mara 4 huku nikiendelea na dose. Dr aliniandikia report vizuri ili nipeleke ofisini kwa ajili ya kupewa likizo ya mapumzuko ya ugonjwa -sick leave. Huko ofisini ndipo nilikutana na mshangao kuwa eti nimebakisha sick leave ya siku 2 tu baada ya hapo nitaanza kulipwa nusu mshahara. Nikauliza jamani ni lini nimechukua likizo ya ugonjwa nikajibiwa tangu uanze kazi hadi leo Una jumps ya ED 61. So zikifika 63 naanza kupewa nusu mshahara. Nikabaki mdomo wazi nisijue cha kufanya. Sasa naomba msaada maana Mimi ni mwanamke Nina watoto 4 na mume. Kuna siku ambazo watoto waliumwa, mume pia na hata Mimi. Zote zimekuwa zangu na je sheria ya likizo ya ugonjwa inasema hivyo kweli? Naomba msaada wa dhati naumia mshahara wenyewe hautoshi nikilipwa nusu je? Mmnaona nadhulumiwa haki yangu.
 
32.-1) An employee shall be entitled to sick leave for at least 126 days in any leave cycle.
Sick leave
(2) The sick leave referred to in subsection (1) shall be calculated as follows-
(a) the first 63 days shall be paid full wages; (b) the second 63 days shall be paid half wages.
 
32.-1) An employee shall be entitled to sick leave for at least 126 days in any leave cycle.
Sick leave
(2) The sick leave referred to in subsection (1) shall be calculated as follows-
(a) the first 63 days shall be paid full wages; (b) the second 63 days shall be paid half wages.

Duu! Kumbe ni ivi.

Pole dada yetu.
 
32.-1) An employee shall be entitled to sick leave for at least 126 days in any leave cycle.
Sick leave
 
Sasa hapa niko njia panda which leave circle? Ya mwaka au ya miaka mitatu walioijumlisha? Nameless funguka for me please nataka kuelewa please 32.-1) An employee shall be entitled to sick leave for at least 126 days in any leave cycle.
 
Hizi
63 zikoaccumulated wanasheria. Ni zile sikuza jino, kichwa,malaria nk tena tangu 2011 ATI ndio 63, nielewwsheni kamshahara hakatoshi nikilopwa nusu je? kweli nahis muhindi ananiibia ywye Ni hr, yy Ni mhasibu yy Ni mkurugenzi
 
Sasa hapa niko njia panda which leave circle? Ya mwaka au ya miaka mitatu walioijumlisha? Nameless funguka for me please nataka kuelewa please 32.-1) An employee shall be entitled to sick leave for at least 126 days in any leave cycle.
Izo za kwako zilianza kuhesabiwa toka lini?
 
Back
Top Bottom