SIDE EFFECT: Za kufanya root canal

Mine eyes

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2016
Posts
6,496
Reaction score
7,162
Habari...

Tafadhali... nasumbuka na meno sana sasa Doctor kanishauri nifanyiwe root canal kwa baadhi ya meno!

Naomba kwa anayejua side effect za hili zoezi..anifahamishe...maana naona inahusiana na mambo za nerve...
 
Kuna dentist mmoja yuko loyal sana anakwambia options zote na faida na hasara zake
Anaitwa Gupta, yuko mtaa wa India na Uhuru
Aliwahi kuwa Head of Dentists Faculty MUHAS, Chairman wa Dentists Association
Yuko vizuri sana ingawa bei zake zimeenda shule
Mie alinifanyia hiyo Root Canal ni zaidi ya miaka 10 sasa niko vizuri
 
Tutajie faida na hasara zake...?

Hiyo mitaa iko mkoa gani mkuu,tupo watu mbali mbali humu..
 
Ningepata namba zake huyo ingekuwa powa sana.

Mana nataka nikazibe jino sasa ukimpata mpuuzi mpuuzi anaweza kukuharibiaa bora upate mtu hakika kabisa.

Bima anatumia huyo..?
Hiyo mitaa iko Dsm, Maeneo ya Clock Tower, Kata ya Mchafukoge
 
Ningepata namba zake huyo ingekuwa powa sana.

Mana nataka nikazibe jino sasa ukimpata mpuuzi mpuuzi anaweza kukuharibiaa bora upate mtu hakika kabisa.

Bima anatumia huyo..?
Wasiliana nae kwa Landline

022 211 8838
 
Risk kubwa ni infection ya pili ni maumivu mengine labda makosa ya kiutendaji kama dr si mzoefu.
 
Kwa miezi nane umekaa na jino bovu ukisubiri msaada toka jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…