Sidhani kama Watanzania hawataki maandamano, na sidhani kama polisi wanaweza kuzuia maandamano yenye tija kwa taifa

Sidhani kama Watanzania hawataki maandamano, na sidhani kama polisi wanaweza kuzuia maandamano yenye tija kwa taifa

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Chanzo cha matatizo yote ni katiba mbovu tuliyonayo haya mengine kwa sasa yanategemea sana busara za kiongozi mkuu wa nchi.

Ukiandaa maandamano ndani yake kukawa na Samia Must GO ndani ya kuomba haki tayari kuna dalili za uvunjifu wa katiba hii hii mbovu tunayo itumia ,kwa hapa huwezi walaumu polisi

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

Kwa kifupi tunahitaji sana katiba Mpya kuliko kitu chochote, wanaharakati, wanasiasa tumieni muda wenu kuelimisha wananchi kuhusu katiba nini, umuhimu wake, mapungufu yaliyomo kwenye hii katiba.

Kwa hili hata polisi wataruhusu maandamano lakini pia kutakuwa na back up kubwa ya wananchi na vyombo vya usalama.

Watanzania sio waoga ila inategemea wanapigania nini na kwa maslahi ya nani ,Serikali isipuuze wananchi.
 
Chanzo cha matatizo yote ni katiba mbovu tuliyonayo haya mengine kwa sasa yanategemea sana busara za kiongozi mkuu wa nchi .

Ukiandaa maandamano ndani yake kukawa na Samia Must GO ndani ya kuomba haki tayari kuna dalili za uvunjifu wa katiba hii hii mbovu tunayo itumia ,kwa hapa huwezi walaumu polisi

kwa kifupi tunahitaji sana katiba Mpya kuliko kitu chochote ,wanaharakati ,wanasiasa tumieni muda wenu kuelimisha wananchi kuhusu katiba nini ,umuhimu wake ,mapungufu yaliyomo kwenye hii katiba .

Kwa hili hata polisi wataruhusu maandamano lakini pia kutakuwa na back up kubwa ya wananchi na vyombo vya usalama .

Watanzania sio waoga ila inategemea wanapigania nini na kwa maslahi ya nani ,Serikali isipuuze wananchi .
Kwa kiasi fulani una hoja yenye mashiko ingawaje hoja yako inahitaji marekebisho, maboresho na kuongezewa nguvu zaidi ili ikamilike sawa sawa.
 
Back
Top Bottom