Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Wapumbavu hawataelewa hili, ila Biblia na Qur an vinaonesha wazi kuwa Yesu ni MunguYesu ni mungu wa wapi?mnajiita wasomi lakini ni empty kabisa,rudi kaikague biblia vizuri itakueleza huyo unaemuita mungu ameelezewa vipi
Mkuu,*R.I.P[emoji779]*
*R.I.P[emoji779][emoji779]*
*R.I.P[emoji780][emoji780][emoji780]*
⚰⚰[emoji24]⚰⚰[emoji24]⚰⚰
*"PUMZIKA KWA AMANI" [emoji779]*
JE KUNA AMANI IPI KABURINI[emoji780][emoji15]
*"MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI"*
HUKO MAHALA PEMA NI WAPI[emoji780][emoji15] JE WAPO WASIOLALA MAHALA PEMA HUKO PEPONI?[emoji134]♂[emoji779]
*UTANGULIZI*
Limekuwa ni jambo la kawaida kuwaambia ndugu zetu waliolala ( wafu) wapumzike kwa amani ( R.I.P) na wengine wakaenda mbali zaidi kumsihi Mungu azilaze Roho hizo mahali pema!
BIBLIA INASEMA WAFU WAKO WAPI???
Mwanzo 3: 1 *"Kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi"*
»»» NB: WAFU WOTE WAPO MAVUMBINI HAIJALISHI WALITENDA MEMA AU MABAYA WANASUBIRI YESU AJAPO KUTOA HUKUMU.
R.I.P( PUMZIKA KWA AMANI)
JE KUNA AMANI YEYOTE KABURINI MTU ANAPOKUFA???
Muhubir 9:5 *"Lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa"*
NB: WAFU HAWAJUI NENO LOLOTE WALA HAWANA MAWAZO WALA KUMBUKUMBU YA CHOCHOTE NI KAMA MEZA, JIWE NA VIUMBE VYOVYOTE VISIVYO HAI! KWAHIYO KUWAAMBIA WALALE MAHALI PEMA HAKUNA WEMA WALA GHASIA KABURINI. WAFU WOTE HAWAJIELEW!!
*JE TUKIWAOMBEA WAFU WANAWEZA KUFANYA TENA IBADA?* KUTUOMBEA?? AU TUKIWAOMBEA MUNGU ANAWEZA KUWASAMEHE???
»»» Zaburi 115.17
*"Sio wafu wamsifuo BWANA, wala wo wote washukao kwenye kimya"*
»» Zaburi 143:4
*"Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake,Siku hiyo mawazo yake yapotea"*
»» Mhubiri 9:10
*"Lo lote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe"*
HITIMISHO
[emoji116][emoji116][emoji116]
O1. R.I.P.( PUMZIKA KWA AMANI)
Huu ni msemo wa kipagani tena unaokinzana na maandiko maana wafu hawajui chochote hivyo hakuna amani yoyote kaburini mfu hajitambui hajielew ni kama kochi au peni hana ufahamu.
O2. MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI
a) Mungu hapangiwi pa kumuweka mfu
b) Mfu akifa anarudi kuwa udongo
O3. MFU HAWEZI KUKUOMBEA WALA KUOMBEWA DHAMBI ZAKE ZIISHE
a) Wafu hawawezi kutuombea sio bikra Mariam mama wa Yesu wala mtakatifu yeyote aliyekwisha kufa anaweza kutuombea Kwa Mungu, Biblia inasema tuombe kwa jina la Yesu pekeee.. (Wafilipi 2:10)
b) Mtu akifa historia yake imefungwa hawezi kuombewa dhambi zikamtoka,
c) Ibada na maombezi ni kwa walio hai tu
IBADA ZA KUOMBEA WAFU NI UPAGANI NA MACHUKIZO KWA BWANA
*WITO:* TUMKIRI YESU NA KUMFUATA TUKIWA HAI ILI HATA TUKIFA TUWE NA TUMAINI KUWA AJAPO MARA YA PILI ATATUPA MIILI YA KUTOKUHARIBIKA NA TUTAISHI NAE MILELE..!!
Nakuachia swali la changamoto:
*Kama ibada ya kumuombea mfu ina maana kuna umuhimu gani wa kumtumikia Mungu ukiwa hai si usubiri tu ukifa uombewe dhambi zitoke? Je, nani atapewa adhabu ya moto na kupotea milele wakati wafu wote huwa wanaombewa?*
TAFAKARI
Kwa akili yako unadhani yale yote yanayofanyika baada ya mtu kufa huwa anafanyiwa marehemu?Na watu wanaposema R.I.P unadhani wanamwambia marehemu?*R.I.P[emoji779]*
*R.I.P[emoji779][emoji779]*
*R.I.P[emoji780][emoji780][emoji780]*
⚰⚰[emoji24]⚰⚰[emoji24]⚰⚰
*"PUMZIKA KWA AMANI" [emoji779]*
JE KUNA AMANI IPI KABURINI[emoji780][emoji15]
*"MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI"*
HUKO MAHALA PEMA NI WAPI[emoji780][emoji15] JE WAPO WASIOLALA MAHALA PEMA HUKO PEPONI?[emoji134]♂[emoji779]
*UTANGULIZI*
Limekuwa ni jambo la kawaida kuwaambia ndugu zetu waliolala ( wafu) wapumzike kwa amani ( R.I.P) na wengine wakaenda mbali zaidi kumsihi Mungu azilaze Roho hizo mahali pema!
BIBLIA INASEMA WAFU WAKO WAPI???
Mwanzo 3: 1 *"Kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi"*
»»» NB: WAFU WOTE WAPO MAVUMBINI HAIJALISHI WALITENDA MEMA AU MABAYA WANASUBIRI YESU AJAPO KUTOA HUKUMU.
R.I.P( PUMZIKA KWA AMANI)
JE KUNA AMANI YEYOTE KABURINI MTU ANAPOKUFA???
Muhubir 9:5 *"Lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa"*
NB: WAFU HAWAJUI NENO LOLOTE WALA HAWANA MAWAZO WALA KUMBUKUMBU YA CHOCHOTE NI KAMA MEZA, JIWE NA VIUMBE VYOVYOTE VISIVYO HAI! KWAHIYO KUWAAMBIA WALALE MAHALI PEMA HAKUNA WEMA WALA GHASIA KABURINI. WAFU WOTE HAWAJIELEW!!
*JE TUKIWAOMBEA WAFU WANAWEZA KUFANYA TENA IBADA?* KUTUOMBEA?? AU TUKIWAOMBEA MUNGU ANAWEZA KUWASAMEHE???
»»» Zaburi 115.17
*"Sio wafu wamsifuo BWANA, wala wo wote washukao kwenye kimya"*
»» Zaburi 143:4
*"Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake,Siku hiyo mawazo yake yapotea"*
»» Mhubiri 9:10
*"Lo lote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe"*
HITIMISHO
[emoji116][emoji116][emoji116]
O1. R.I.P.( PUMZIKA KWA AMANI)
Huu ni msemo wa kipagani tena unaokinzana na maandiko maana wafu hawajui chochote hivyo hakuna amani yoyote kaburini mfu hajitambui hajielew ni kama kochi au peni hana ufahamu.
O2. MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI
a) Mungu hapangiwi pa kumuweka mfu
b) Mfu akifa anarudi kuwa udongo
O3. MFU HAWEZI KUKUOMBEA WALA KUOMBEWA DHAMBI ZAKE ZIISHE
a) Wafu hawawezi kutuombea sio bikra Mariam mama wa Yesu wala mtakatifu yeyote aliyekwisha kufa anaweza kutuombea Kwa Mungu, Biblia inasema tuombe kwa jina la Yesu pekeee.. (Wafilipi 2:10)
b) Mtu akifa historia yake imefungwa hawezi kuombewa dhambi zikamtoka,
c) Ibada na maombezi ni kwa walio hai tu
IBADA ZA KUOMBEA WAFU NI UPAGANI NA MACHUKIZO KWA BWANA
*WITO:* TUMKIRI YESU NA KUMFUATA TUKIWA HAI ILI HATA TUKIFA TUWE NA TUMAINI KUWA AJAPO MARA YA PILI ATATUPA MIILI YA KUTOKUHARIBIKA NA TUTAISHI NAE MILELE..!!
Nakuachia swali la changamoto:
*Kama ibada ya kumuombea mfu ina maana kuna umuhimu gani wa kumtumikia Mungu ukiwa hai si usubiri tu ukifa uombewe dhambi zitoke? Je, nani atapewa adhabu ya moto na kupotea milele wakati wafu wote huwa wanaombewa?*
TAFAKARI
Nipe andiko ambayo yesu mwenyewe amesema yeye ni munguYesu ni Mungu
Weka hapa mahala yesu anasema ni mungu ...bishana kwa hoja sio matusi tuko tayari kukupa elimu ya bibilia na ya quran pia kuhusu yesu.Wapumbavu hawataelewa hili, ila Biblia na Qur an vinaonesha wazi kuwa Yesu ni Mungu
Yesu siyo Mungu mweza yote. Ndiyo maana alisema baba ni mkuu kuliko yeye. Kitu gani kigumu hapo kueleweka?Inashangaza na inasikitisha kuwa hujui ya kuwa YESU NI MUNGU.
Ingawa Yesu siyo Mungu mweza yote, amepewa mamlaka na uwezo wa kuhukumu na Mungu.Just to correct you....Yesu..hata rudi kuhukumu mtu sio kazi yake hiyo ni kazi ya Mungu kuhukumu...
Bado sijaona mahala inayo sema mimi yesu ndio nitakaye hukumu watu....ila ulicho weka ni yesu atakapo rudi na kuwakana wakristo na kusemq yeye hakuacha mafunzo hayo...na kikubwa kitakacho mrudisha duniani ni kwa sababu alipazwa mbinguni hakufa msalabani kama mnavyo dhania atarudi duniani na ataishi na ataowa na atapata watto na atakufa kama wati wote watakavyo kufa kwa sababu ni binaadamu na kila binaadamu ataonja mauti.Ingawa Yesu siyo Mungu mweza yote, amepewa mamlaka na uwezo wa kuhukumu na Mungu.
Mathayo 25:31,32
31 Wakati Mwana wa binadamu atakapofika katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye, ndipo atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu. 32 Na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu, mmoja kutoka kwa mwenzake, kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
Mathayo 7:21-23
21 Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia. 22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’ 23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe! Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.
[QUOTE="Ngwango, post: 25818275, member: 465883 in mayai tu ndio hawana uhakika kama yapo wangeagiza akaangiwe mayai.....!
Wafu wapo wapi?*R.I.P[emoji779]*
*R.I.P[emoji779][emoji779]*
*R.I.P[emoji780][emoji780][emoji780]*
[emoji1019][emoji1019][emoji24][emoji1019][emoji1019][emoji24][emoji1019][emoji1019]
*"PUMZIKA KWA AMANI" [emoji779]*
JE KUNA AMANI IPI KABURINI[emoji780][emoji15]
*"MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI"*
HUKO MAHALA PEMA NI WAPI[emoji780][emoji15] JE WAPO WASIOLALA MAHALA PEMA HUKO PEPONI?[emoji134]♂[emoji779]
*UTANGULIZI*
Limekuwa ni jambo la kawaida kuwaambia ndugu zetu waliolala ( wafu) wapumzike kwa amani ( R.I.P) na wengine wakaenda mbali zaidi kumsihi Mungu azilaze Roho hizo mahali pema!
BIBLIA INASEMA WAFU WAKO WAPI???
Mwanzo 3: 1 *"Kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi"*
»»» NB: WAFU WOTE WAPO MAVUMBINI HAIJALISHI WALITENDA MEMA AU MABAYA WANASUBIRI YESU AJAPO KUTOA HUKUMU.
R.I.P( PUMZIKA KWA AMANI)
JE KUNA AMANI YEYOTE KABURINI MTU ANAPOKUFA???
Muhubir 9:5 *"Lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa"*
NB: WAFU HAWAJUI NENO LOLOTE WALA HAWANA MAWAZO WALA KUMBUKUMBU YA CHOCHOTE NI KAMA MEZA, JIWE NA VIUMBE VYOVYOTE VISIVYO HAI! KWAHIYO KUWAAMBIA WALALE MAHALI PEMA HAKUNA WEMA WALA GHASIA KABURINI. WAFU WOTE HAWAJIELEW!!
*JE TUKIWAOMBEA WAFU WANAWEZA KUFANYA TENA IBADA?* KUTUOMBEA?? AU TUKIWAOMBEA MUNGU ANAWEZA KUWASAMEHE???
»»» Zaburi 115.17
*"Sio wafu wamsifuo BWANA, wala wo wote washukao kwenye kimya"*
»» Zaburi 143:4
*"Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake,Siku hiyo mawazo yake yapotea"*
»» Mhubiri 9:10
*"Lo lote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe"*
HITIMISHO
[emoji116][emoji116][emoji116]
O1. R.I.P.( PUMZIKA KWA AMANI)
Huu ni msemo wa kipagani tena unaokinzana na maandiko maana wafu hawajui chochote hivyo hakuna amani yoyote kaburini mfu hajitambui hajielew ni kama kochi au peni hana ufahamu.
O2. MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI
a) Mungu hapangiwi pa kumuweka mfu
b) Mfu akifa anarudi kuwa udongo
O3. MFU HAWEZI KUKUOMBEA WALA KUOMBEWA DHAMBI ZAKE ZIISHE
a) Wafu hawawezi kutuombea sio bikra Mariam mama wa Yesu wala mtakatifu yeyote aliyekwisha kufa anaweza kutuombea Kwa Mungu, Biblia inasema tuombe kwa jina la Yesu pekeee.. (Wafilipi 2:10)
b) Mtu akifa historia yake imefungwa hawezi kuombewa dhambi zikamtoka,
c) Ibada na maombezi ni kwa walio hai tu
IBADA ZA KUOMBEA WAFU NI UPAGANI NA MACHUKIZO KWA BWANA
*WITO:* TUMKIRI YESU NA KUMFUATA TUKIWA HAI ILI HATA TUKIFA TUWE NA TUMAINI KUWA AJAPO MARA YA PILI ATATUPA MIILI YA KUTOKUHARIBIKA NA TUTAISHI NAE MILELE..!!
Nakuachia swali la changamoto:
*Kama ibada ya kumuombea mfu ina maana kuna umuhimu gani wa kumtumikia Mungu ukiwa hai si usubiri tu ukifa uombewe dhambi zitoke? Je, nani atapewa adhabu ya moto na kupotea milele wakati wafu wote huwa wanaombewa?*
TAFAKARI
Wafu wapo wapi?Hitimisho 2 (a):
Ni kweli kabisa Mungu hapangiwi pa kumuweka mfu. Na kama kweli wewe ni msomaji mzuri wa biblia, biblia inasema kwamba MUNGU WETU NI MSIKIVU.
Sasa basi, tunaposema Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, pale ni kwamba HAPANGIWI, ila ANAOMBWA. Na ndio maana kauli hiyo huanza na neno TUNAKUOMBA uilaze roho ya marehemu mahala pema peponi, tukiamini kwamba YEYE NI MKUBWA NA ANA UWEZO KULIKO SISI, ndio maana tunajinyenyekeza kwake na kumuomba, sio kumshurutisha.