Miaka 21,umekua na mtu kwenye mahusiano sasa kwa miaka miwili,it means ulianza mahusiano na umri wa miaka 19, we mdada unakimbila nini? mbona hayo mambo yapo tu utayakuta unaharakia nini? Kwa taarifa yako sasa huyo jamaa anakupotezea muda na inavyoonekana una weakness ambazo ndio anazitumia,unasema kwamba amesema kwamba itakuwaje mkiachana na ndugu zake wanakufahamu hivi ukifikiri hiyo ni point ya maana? anakuzuga,anakutumia,na mwisho wa siku rafiki utujutia huo muda unaopoteza,kama unasoma soma kwanza acha kuchanganya mambo mawili kwa wakati mmoja,kumbuka wahenga walisema mshika mbili................................................