Sielewi kama kweli napendwa

Hi,

Pole sana kwa kutokuelewa kwako kama wapendwa au vipi. Kwa maoni yangu ni kwamba huyo patina wako naona hachukui hatua za ziada kwa kukutofautisha wewe na mtu wa kawaida, kwanza inatakiwa akujali zaidi, atake care zaidi yani awe na matendo ya ziada kwako!!!!. Ukikohoa tu aitikie kujua kama una shida au umepaliwa. Mapenzi ni kitu kingine bwana, waweza kuwa kichaa.

Tchao
 
But mm kama sikuamini hivi?na hasa ukizingatia hilo jina,wakichina zaidi its like evrything u have said ni feki!ni mtazamo wangu tu
 
We anza tu! Uccubiri kibuti

Waswahili husema "Akufukuzaye hakuambii................"
 
Kama wewe ni wa kichina tukusaidieje tena? Hopeful u r fake, unless otherwise
 
Yaani mmuefanya threesome? kweli tunafikia ukingoni.....

B afu umri huo umeuona? binti mbichi kabisa na future bado bright unaanza kukubali ushenzi wa tabia "in the name of love"

hamna mapenzi hapo (my opinion wala sihitaji kusulubishwa hapa)
 
B afu umri huo umeuona? binti mbichi kabisa na future bado bright unaanza kukubali ushenzi wa tabia "in the name of love"

hamna mapenzi hapo (my opinion wala sihitaji kusulubishwa hapa)

mwenyewe anajindadi kuwa ni 'wakichina zaidi' so naanza kutilia wasi wasi hii hoja yake!
 
mwenyewe anajindadi kuwa ni 'wakichina zaidi' so naanza kutilia wasi wasi hii hoja yake!

wat a waste of our preciuos time.....................

agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!! nachukia mimi
 

Ilikuwaje hata akakulaza kitanda kimoja na Mwanamke mwingine? Nawe ilikuwaje hadi ukakubali hali hiyo badala ya kutupa jongoo na mti wake na kuachana naye kabisa!? 😕
 
kuna watu humu wanatuchezea akili....
anakuja na kastori kake ka kubuni na anajua
watu wakisikia na kuamini wata changia kwa nguvvu..
lengo ni kuwasha moto tu humu basi.....

unaomba ushauri wakati unajua kabisa ni upumbavu mtupu.........
 
Duu amekulaza kitanda kimoja na mwanamke mwenzako.umemfumania zaidi ya mara moja bado waomba ushauri,ndugu yangu,huyo jamaa angekuwa amekuoa ningekushauri uvumilie lakini just a boyfriend mimi nakushauri achana naye..atakuua kwa magonjwa ya zinaa.akija kuoa ndo atazidisha hizi tabia zake chafu..Achana naye kabisaaaa.by the way wewe bado kijana mdogo,utampata mwingine wakati wa MUNGU ukifika.
 

sema unatania!! ushauri gani sasa unataka? Tukuambie kwamba huyo ndio anakufaa?
 
........Kwa mliomshambulia kuhusu umri wala sio mtoto huyu,miaka 21 mtu mzima kabisa anajua baya na zuri kwenye mapenzi.
 
miaka 21!!!!!!!!

shule umemaliza, labda anakuona bado mtoto ndo maana anakuchezea akili.

nakushjauri urudi shule, we bado mdogo sana usijione una vichuchu ukadhanai umekuwa mkubwa, zingatia masomo kwanza. achana na mapenzi ...................

Umegonga Ikulu hapo kwenye red!
 
........Kwa mliomshambulia kuhusu umri wala sio mtoto huyu,miaka 21 mtu mzima kabisa anajua baya na zuri kwenye mapenzi.

kujua jema na baya mimi sijakataaa
lakini kwa umri huo kweli kwa nini asizingatie something worth her age like education and career (kama ndo umodo)

ni umri mdogo na ni vizuri kuanza kujijengea msingi mzuri wa maisha badala ya kuanza kuruka ruka kama hivo

yeomii at that age uwiii ..............(anyway tunatofautiana sana)
 
Achana nae, anakudanganya na bora ujinasue kabla haijawa too late, maana utaijutia kila dakika ulo spend nae.hakupendi anakutumia.
 
Ni kheri uachane nae anataka kukurubuni to hell na kufahamika kwa ndugu zake bse angekuwa anakupenda asingeweza kutanga tanga hovyo.
Kama unasoma malizia elimu yako hayo mambo yapo usiwe na haraka
 
Hakupendi ana kuchezea, pia sidhani hata kama wewe unampenda.. kwanza bado mdogo soma upate elimu mambo mengine yatafwata.
sijui kama kuna elimu za kichinachina pia. hee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…